Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,341
- 5,543
Pole sana, ni mapenzi ya Mungu, na kazi yake haina makosa.
je ni jambo gani muhmu maishani ulijifunza baada ya kifo cha mama.
Taratibu Zinduna! Naona kama maswali haya ya katikati yatapotea! Tu'deal' na haya ya mwanzo na kuhitaji ufafanuzi kisha tufungue mawasiliano kwa maswali awamu ya pili! Page zikiongezeka sana, haya maswali ya katikati hayataonekana!
Last edited by a moderator: