Sijapata bado na sioni dalili za kupata dawa labda km unayo teh
na nikujuavyo wewe!! Pale lazmaaaa utarudi! Itanogaje tena?? Kwi kwi kwi !wera weraaaaaaaaaaa!
Aibu yao aibu yetuuuuuu?
99.9% siyo 100%. Ngoja nikamtafute ex wangu banaaaaa!
Hehehehehe! Mi ndo maana sitaki kuwajua maex wa bibi yenu bana.... Nsije nikamsokomezea mvulana wa watu kitu chenye ncha kali kwenye makalio.
Mahawara hawaachani. Source: fidel80
Through themy friend.....Tusimwage kuku wengi kwenye mchele kiduchu
Baba V kama kuna suala lolote kuhusiana na uhusiano wetu naomba mfuate utaratibu,kwa nini mnamrusha roho mwandani wangu kama mmekufa si mseme tu?
Baba V kama kuna suala lolote kuhusiana na uhusiano wetu naomba mfuate utaratibu,kwa nini mnamrusha roho mwandani wangu kama mmekufa si mseme tu?