Mhhhhhh,
Kazi mnayo!
nahisi next week ni wewe!kaa chonjo!
ndo mmwambie kabisa riterd officer huyu !hachelewi kusema mlipwaswa kumpa taarifa mwezi juzi!Kama ni Dark City basi atahojiwa na bibi so tutaangalia km Kongosho atakuwa free au mbibi mwingine saizi yake babu maana tusema ahojiwe na Preta au BADILI TABIA babu atajitoa JF
May The Secret Bring You Love And Joy For Your Entire Existence
nami nimefurahi kuwa ktk mahojiano haya tangu saa 4 asubuhi kwa kweli nimefurahi vya kutosha,kwa niaba ya mpenzi wangu Madame B ,napenda kutoa shukrani za dhati kwa Zinduna Erickb52 Chilli Ruttashobolwa Baba V tedo,kwa kweli sitaweza kuwataja wote ila nasema asanteni sana.
May The Secret Bring You Love And Joy For Your Entire Existence
Dah!
Swali la mtego,na naomba huo mtego nisiufyatue.
Wote napenda post zenu,hasa wewe na babu,Archuga,mwanafnz wangu,DaAsha,mashost zangu,wapambe wangu,mpenzi Chimbuvu,Chilli,tedo,mamodereta,Rutta wangu na memberz woote.
Poa Madame B na hongera kwa majibu yako mazuri. Mimi penda wewe pia!Erickb52 nakushukuru sana kwa kunipelekesha puta ktk Interview hii,Shukrani kwako. Zinduna,Shoo iko bomba sana na nimeipenda. Chimbuvu,nakupenda Sweetilo Yaani dah.....!!!!!!!!!! Arushaone luv uuuu.....!!!!!! Chilli, tedo, Ruttashobolwa Nawapendeni sana.
@FP, charminglady, Baba V, Asprin afu wewe ngoja nije Boko utantambua. ndetichia, eliah G. Kamwela, KOKUTONA, watu8 shem tuko pamoko, Nicas Mtei kaka,Pamoko. Filipo salute, Ciello dada,sana tuuuu.
@Zuedayo_mchuzi, sweetlady mambo.
Jamani na wale wooooote waliokuwa wananichungulia nasema hv,
NAWAPENDA SAAAAAAAANAAAAAAAAA................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hii post imenifariji kichizi...
hata kuoga huwa twaoga pamoja...ene faza kwesheni???
Ndo kupenda kumekufanya kipofu eeh! kamati sio zetu ni za chit.chat na hakuna member aliye juu ya sheria, as far as your relationship is concerned, my word is final and irrevocable, nimeongea kikristu kuonyesha usirias
no more kweshen hahahaha!
Mr Rocky unantega.
Ok binafsi vitu ambavyo sivipendi maishani mwangu ni hivi:
1. Kushea mwanaume na mwanamke mwenzangu,
2. Kutongozwa Bar au Club,
3. Uzinzi, Wizi,
4. Kubituliwa,
5. Kuchukua mali ya mtu....Lol.....!!!!!!!!!!!
nahisi next week ni wewe!kaa chonjo!