Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Kwani hiyo kanuni umeisikia leo mkuu TANMO?

Ndiyo maana wanaume wanawachukia na kuwaogopa ma-ex wa wake zao kama ukoma!!

Babu DC!!
Ndio mana sio vizuri kuambiana hizi hadithi babu DC, maisha yaanzie mlipokutana basi, mambo ya kuanza kuulzana ma x sio mazuri kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Kwani hiyo kanuni umeisikia leo mkuu TANMO?

Ndiyo maana wanaume wanawachukia na kuwaogopa ma-ex wa wake zao kama ukoma!!

Babu DC!!

Hii Zinduna Tok Shoo imenifungua macho, ngoja nianze kuwatembelea akina nanihii kuwajulia hali...
 
Labda mtandao sio mzuri babu DC, niko hewani wala sijazima simu kabisa leo!


Mie nilijua imekwapuliwa ili utulie kwenye viwanja vya home!!

Haina noma...najiandaa kwenda kupiga neno kesho,

Babu DC!!
 
Natamani ukutane na Ndaga ze destroyer, wanawake wenzako wapendao makubwa huwa wanaingiaga mitini katikati ya game. Ukiwauliza kulikoni asilimia kubwa wanasema "Akhaa !mwanaume gani yule badala ya kutumia zakari ye anaingiza goti!"

Ntakutumia namba zake lakini usilalamike sikukuonya.

Mkuu Mbona kama hujalipenda hili jibu, Niaje?
 
Ndio mana sio vizuri kuambiana hizi hadithi babu DC, maisha yaanzie mlipokutana basi, mambo ya kuanza kuulzana ma x sio mazuri kabisa!

unaogopa wale ma "x" wa Elite na Amigo eeh!?
 
marejesho asante.
Nafurahi pia show imeenda bomba
Shukran kwa wadau wote akiwemo basi Asprin aliyekuwa upande wa burudani na matangazo... Filipo aliyekuwa upande wa muda...na Madame B mwenyewe ingawa baadhi ya statement zake zilikuwa zinavuruga utulivu wa mwili wangu.

lol.
Ndo mana ulikuwa umechomolea shatii!
 
Last edited by a moderator:
May The Secret Bring You Love And Joy For Your Entire Existence

nami nimefurahi kuwa ktk mahojiano haya tangu saa 4 asubuhi kwa kweli nimefurahi vya kutosha,kwa niaba ya mpenzi wangu Madame B ,napenda kutoa shukrani za dhati kwa Zinduna Erickb52 Chilli Ruttashobolwa Baba V tedo,kwa kweli sitaweza kuwataja wote ila nasema asanteni sana.

May The Secret Bring You Love And Joy For Your Entire Existence




Nakupendaje wewe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom