Unajua mara nyingi wanawake wenye maumbile makubwa ya nyuma huombwaga sana huo mchezo.
Mimi ni mmoja wao.
Nikiri kuwa niliombwa.
Ila nilitaka kujaribu,lol,
lakini nilichomoa kiaina.
Angenibembeleza....
Hahahahahahaha! Almanusura nifungwe kamba kwa kudhaniwa nimepata kichaa cha ghafla! Nimecheka sana lol!unaogopa wale ma "x" wa Elite na Amigo eeh!?
Mkuu Mbona kama hujalipenda hili jibu, Niaje?
Ndio mana sio vizuri kuambiana hizi hadithi babu DC, maisha yaanzie mlipokutana basi, mambo ya kuanza kuulzana ma x sio mazuri kabisa!
Ohhh nilienda kutafunda kandovu kidogo
Mbona unakuwa mgumu kuelewa?
Show ya babu na bibi, inawezekana vipi wajukuu ndo wawe watazamaji?
Hebu endeleeni kupeana majibu ya kuzugana kama aliyowapa Madame B leo....
Mtu anawezaje kufunguka kiasi hicho bwana?
Labda kwa kuwa na nafikiria kizee zee!!
Babu DC!!
Tukio lililonihuzunisha ni pale nilipofiwa na mama yangu mzazi mwaka 2008,na kubaki na baba.
Na mwaka huu 2012 tena baba yangu mzazi ambae alibaki na sisi nae amefariki.
Kwa kweli haya matukio sitaweza kuyasahau mpaka naingia kaburini.
Hahahaha! Ukiamua kuuliza uwe na moyo wa chuma babu DC lol, vinginevyo utaishia kujisononesha bure!Acha kunivunja mbavu wewe SL!!
Unajua nini?
Kila mwanamume mwenye akili zilizoenea kichwani lazima atauliza tu idada ya wapangaji waliowahi kulipa kodi ya pango...Ila akishapewa jibu tu, ndo anakumbua kwamba kweli hana akili hata chembe...
Kwa jinsi roho inavyouma, mtu anatamani aachane ni kila mwanamke akachongeshe wa kwake kwa fundi chuma!!
We achana na uchungu wa ma-ex wewe!!
Babu DC!!
Ukiona hvo ana kidole cha mwisho.
lol.
Ndo mana ulikuwa umechomolea shatii!
lol.
Ndo mana ulikuwa umechomolea shatii!
Daah samahani Madame B, kuna hii kitu King'asti anaiita Morning Glory,Unaichukuliaje ? Ukizingatia wewe ni singo, ukiikosa siku yako inakuwaje, au unafanya jitihada gani kutimiza matakwa ya nafsi na afya yako?
Babu DC una roho yangu.
Unataka nijibane?
Afu nataka uje nikuhoji nyumbani kwangu,peke yako.