madame B una mambo weye bibie we acha tu!!
Nataka uwe mgeni wangu siku ya leo je yawezekanabibie?
Hao waloweka hehehheee
Alianza Ruhazwe JR akaja Arushaone [MENTION=19962][/MENTION]akafuata Ruttashobolwa na sasa ni Chimbuvu
Afu we Host wangu mbona mpana hvo?
Siri za mgeni wazitoa nje?
Tutakutana Tanga, na utanitambua.
Labda nisikukamate.
kanisani kufanya nini?Khaaa....
Mr Kicheko,
huo ugeni salama kweli?
Naona umemsubiri mkeo aende kanisani ndo utuchungulie humu.
Haya nikishakuja,twafanyaje?
kanisani kufanya nini?
mbona mwoga hivyo?
mie niko alone bana
kwani wewe unatakaje?...hujajibu swali.
kwani wewe unatakaje?
nataka nikupe mwaliko tuonane nje ya jamvi nipate kukujua zaidi, kama upo fresh tuungane Dar live siku ya leo but usije na shoga zako
kwani wewe unatakaje?
nataka nikupe mwaliko tuonane nje ya jamvi nipate kukujua zaidi, kama upo fresh tuungane Dar live siku ya leo but usije na shoga zako