Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Erickb52 + Madame B

Kwa maswali na majibu niliyopitia na hata kuniridhisha kwa kweli kama siyo naingia Ibadani hapa Olasit Lutheran Church hakika ningekuwa na la kusema lakini hata hivyo nikitoka hapo kwenye ibada majira ya saa saba nitajakuuliza maswali mawili matatu!
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 + Madame B

Kwa maswali na majibu niliyopitia na hata kuniridhisha kwa kweli kama siyo naingia Ibadani hapa Olasit Lutheran Church hakika ningekuwa na la kusema lakini hata hivyo nikitoka hapo kwenye ibada majira ya saa saba nitajakuuliza maswali mawili matatu!
Hahahahaaq LiverpoolFC ulikuea wapi tangu jana?? Show imekupita aiseee
 
Last edited by a moderator:
CC ni balaa, yaani sina hakika kama kweli watu wanatimiza wajibu wao nambari 1.
 
Mambo mdada!!
Ulifanikiwa kale kampango ka jana?

Mambo Poa.
Mie tena nisifanikiwe?
Ila sikumalizia hadi mwisho,uzalendo ulinishinda nikazima,nikaenda kumtafuta.
Nikaibuka,nikadance mpaka lukwiri.
 
Kwani bibi huwa namsikiaga analiaga kila siku ikifika usiku.
Hv huwa analia kwani unamchapaga.
Afu ni mida ileile.

Mbona hili ilikuwa enzi hizo kabla ya kuretire?

Siku hizi twajiotea moto na kuwapigia wajukuu zile za paukwa pakawa!

Kama wataka kusikiliza hadithi tu wakaribishwa.
 
Mbona hili ilikuwa enzi hizo kabla ya kuretire?

Siku hizi twajiotea moto na kuwapigia wajukuu zile za paukwa pakawa!

Kama wataka kusikiliza hadithi tu wakaribishwa.

Khaaa...
Basi nitahama mji.
Maisha bila hayo mautamu ni kujikill it self bhana.
 
Back
Top Bottom