Bora binamu unisaidie kumpasha.
Mpe mpe mpe
Halafu kumbuka kuwa nakudai
Kiburi hicho kaka!!
watu wanachomolewa Masaki wanakuja ishi tandale seuze Kino
Kudadeki kumbe ulikuwa unawacall mashost zaku mje mumgidie b.wege??
bora nimestukia mapema wacha nilale mbele.
Asante sana Erickb52 na niko tayari kwa maswali.
Mimi nilijiunga na Jf tar 9 April 2012,
na nilijiunga baada ya kukutana na member ambae simfahamu ID yake mpaka leo.
Katika kupiga stori akaongelea kuhusu Jf.
Kiukweli nilivutiwa na nilipofika home nikamwambia dada Kijino aniunganishe.
Hvyo nikaingia rasmi humu dimbani.
Kilichonisukuma ni upendo nilionan kwa Jf kwa Ujumla.
Asante.
Unamdhalilisha Madame B. Yani atoke Kino Clain aje Dar Live Mbagala? Are u serious? Unadhan ye ni mtoto?
Hee...!!!
Kumbe hela zako zenyewe za kuungaunga?
Kwaheri.
tangulia kamandaNaona watu kibao wanajaribu kunitisha, hawa wote tupa kule.. Ndo niko njiani kuja kwenye Ufalme wako Dia..
Soki, Kaizer, nemic4u,babu Dc,nicas Mtei, madame B, tedo, Mzalendo, marejesho, manoah...mkalale jamani khaaa....mbona mko tu hapo chini? Wake na waume zenu wanawasubiri kwaajili ya tamutamu.
Naona watu kibao wanajaribu kunitisha, hawa wote tupa kule.. Ndo niko njiani kuja kwenye Ufalme wako Dia..