na nikujuavyo wewe!! Pale lazmaaaa utarudi! Itanogaje tena?? Kwi kwi kwi !
Wala sitishi mtu.
Bahati mbaya nguvu ni haba na so, hatuwezi kuwaonesha demo!
Babu DC siku hizi sisi hatumumunyi maneno!!!Watoto wadogo nao siku hizi wanajua kwamba watoto hawanunuliwi!!
Hujakosea Babu,siye tupo ulimwengu mwingine kabisa!!
Shikamoo Babu DC almaaruf Dark City.
Embu ongeza sauti, sijakusikia vizuri!?
hahahahhahahahahahah
Embu ongeza sauti, sijakusikia vizuri!?
Hahahahhaaaaaa babu mbona unatisha wajukuu???
Hivi hata chai umepewa wewe?
Naona mjukuu alikuwa anawahi namba hapa CC, utadhani ni dada mkuu wa St Kanumba Primary schoo...lol.l!!
Babu DC!!
Hapana.
Unajua kusema uongo ni dhambi? Tena umeitenda toka jana asubuhi kwa yale majibu yako ambayo babu kayastukia..
Basi kaombe kitubio haraka kabla mtumishi Wa bwana hajaenda kupata lunch inayoweza kumwondolea udhu!
Babu hebu nikumbushe.
Nilisema hapana kwa nini?
Uzee huu.
Shem,
Hakyamungu tena Sijafanya nae lolote,
Kibra huku...na mchanga wa Pwani naulamba.
Nimepewa chai na mkate, wakati nina mning'inio! We acha tu!
Mbona unajitetea hivyo!? Nilitaka kujua ulifikaje Arusha kimya kimya hivyo. Hayo ya kufanya nilikuwa bado sijauliza!
Hivi hata chai umepewa wewe?
Naona mjukuu alikuwa anawahi namba hapa CC, utadhani ni dada mkuu wa St Kanumba Primary schoo...lol.l!!
Babu DC!!