Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Asante shost.
Hlo tena.
Kama kuteleza juu ya tiles.
Ila uzuri wake walikuwa wanajuana.
Afu walikuwa hawaoneani wivu.
Si unajua cha wizi kinanoga?

Duh, wewe kweli mtu wa Tanga, huwezekani kwa limbwata, yaani madume yote mawili yakagwaya, lakini mtoto umetulia ka maji ya mtungi,

kama nakuona vile ulivyowatuliza

"Heeee, mniwache nipumuwe, kama mmekasirika piganeni na atakayeshinda ndio ataondona na mie"
 

...yarabi....
 
Last edited by a moderator:

Me ndo Madame B.
Wengine fake.
Hapana chezea mtoto wa KinoClain.
 
Last edited by a moderator:

......toba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…