Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,383
Asante shost.
Hlo tena.
Kama kuteleza juu ya tiles.
Ila uzuri wake walikuwa wanajuana.
Afu walikuwa hawaoneani wivu.
Si unajua cha wizi kinanoga?
Duh, wewe kweli mtu wa Tanga, huwezekani kwa limbwata, yaani madume yote mawili yakagwaya, lakini mtoto umetulia ka maji ya mtungi,
kama nakuona vile ulivyowatuliza
"Heeee, mniwache nipumuwe, kama mmekasirika piganeni na atakayeshinda ndio ataondona na mie"