Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Zinduna naona babu anahamu ya maswali sasa naomba kukupa shukrani zangu za pekee kwa kuwa bega kwa bega na mimi katika kufanikisha show hii!
Madame B thanks na karibu kwenye awamu ya pili ya wadau kukutupia maswali usiogope kujibu crazy Qns relux kama ulivyokuwa tangu mwanzo!
Thanks sana kwa wadau wote! Niko nanyi!
Asprin muda wangu umetosha nawapa nafasi nanyi muulize maswali yenu!
Karibuni sana ndetichia Elia G Kamwela na wadau wote popote mlipo
Mama Erick a.k.a KOKUTONA karibu sana Kipipi (Miss you) bila kuwasahau moto2012 FP gfsonwin snowhite cacico Bishanga na The Boss

Kaka umeuliza karibu maswli yote!

Nyongeza, Madame B umesema kuwa una mtoto 1, je huyo mzazi mwenzako unamchukuliaje? Na akiomba game au akatumbukiza gea ya kuja kuona mtoto kisha akataka game utafanyaje?
 
Erickb52 nakushukuru sana kwa kunipelekesha puta ktk Interview hii,Shukrani kwako. Zinduna,Shoo iko bomba sana na nimeipenda. Chimbuvu,nakupenda Sweetilo Yaani dah.....!!!!!!!!!! Arushaone luv uuuu.....!!!!!! Chilli, tedo, Ruttashobolwa Nawapendeni sana.
@FP, charminglady, Baba V, Asprin afu wewe ngoja nije Boko utantambua. ndetichia, eliah G. Kamwela, KOKUTONA, watu8 shem tuko pamoko, Nicas Mtei kaka,Pamoko. Filipo salute, Ciello dada,sana tuuuu.
@Zuedayo_mchuzi, sweetlady mambo.
Jamani na wale wooooote waliokuwa wananichungulia nasema hv,
NAWAPENDA SAAAAAAAANAAAAAAAAA................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

nasi tunakupenda saaaaaaaanaaaaaa!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Well yu knoo mr jentroman hia in chitchat inglish is not richabo bikoz awa silabas ended wis ze topic of "senkyu veri mach ticha, we are sitting down limited"

So ken yu ask yua answer in Nyerere langweji plis.

We ol lav your kampan limited and your welcome warm.

babu Asprin u ruko meen.... zatis y i lavyuuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana Madame B kwa kufunguka na kujibu maswali kiufasaha na wazi kabisa
Kaswali kangu ka kizushi ni vitu gani hupendi maishani mwako
Mr Rocky unantega.
Ok binafsi vitu ambavyo sivipendi maishani mwangu ni hivi:
1. Kushea mwanaume na mwanamke mwenzangu,
2. Kutongozwa Bar au Club,
3. Uzinzi, Wizi,
4. Kubituliwa,
5. Kuchukua mali ya mtu....Lol.....!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
We lov you too!

Erickb52 nakushukuru sana kwa kunipelekesha puta ktk Interview hii,Shukrani kwako. Zinduna,Shoo iko bomba sana na nimeipenda. Chimbuvu,nakupenda Sweetilo Yaani dah.....!!!!!!!!!! Arushaone luv uuuu.....!!!!!! Chilli, tedo, Ruttashobolwa Nawapendeni sana.
@FP, charminglady, Baba V, Asprin afu wewe ngoja nije Boko utantambua. ndetichia, eliah G. Kamwela, KOKUTONA, watu8 shem tuko pamoko, Nicas Mtei kaka,Pamoko. Filipo salute, Ciello dada,sana tuuuu.
@Zuedayo_mchuzi, sweetlady mambo.
Jamani na wale wooooote waliokuwa wananichungulia nasema hv,
NAWAPENDA SAAAAAAAANAAAAAAAAA................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 nakushukuru sana kwa kunipelekesha puta ktk Interview hii,Shukrani kwako. Zinduna,Shoo iko bomba sana na nimeipenda. Chimbuvu,nakupenda Sweetilo Yaani dah.....!!!!!!!!!! Arushaone luv uuuu.....!!!!!! Chilli, tedo, Ruttashobolwa Nawapendeni sana.
@FP, charminglady, Baba V, Asprin afu wewe ngoja nije Boko utantambua. ndetichia, eliah G. Kamwela, KOKUTONA, watu8 shem tuko pamoko, Nicas Mtei kaka,Pamoko. Filipo salute, Ciello dada,sana tuuuu.
@Zuedayo_mchuzi, sweetlady mambo.
Jamani na wale wooooote waliokuwa wananichungulia nasema hv,
NAWAPENDA SAAAAAAAANAAAAAAAAA................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Luv you three baby Madame B You've done a great presentation!! Much, much love!
 
Last edited by a moderator:
May The Secret Bring You Love And Joy For Your Entire Existence

nami nimefurahi kuwa ktk mahojiano haya tangu saa 4 asubuhi kwa kweli nimefurahi vya kutosha,kwa niaba ya mpenzi wangu Madame B ,napenda kutoa shukrani za dhati kwa Zinduna Erickb52 Chilli Ruttashobolwa Baba V tedo,kwa kweli sitaweza kuwataja wote ila nasema asanteni sana.

May The Secret Bring You Love And Joy For Your Entire Existence



 
Last edited by a moderator:
Kaka umeuliza karibu maswli yote!

Nyongeza, Madame B umesema kuwa una mtoto 1, je huyo mzazi mwenzako unamchukuliaje? Na akiomba game au akatumbukiza gea ya kuja kuona mtoto kisha akataka game utafanyaje?
moto2012 hilo swali nilishalijibu ila nitalirudia.
Maadam tumeachana kwa usalama na wala hatukugombana ,
Nitamfikiria.
Si unajua swaga za 6*6?
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 nakushukuru sana kwa kunipelekesha puta ktk Interview hii,Shukrani kwako. Zinduna,Shoo iko bomba sana na nimeipenda. Chimbuvu,nakupenda Sweetilo Yaani dah.....!!!!!!!!!! Arushaone luv uuuu.....!!!!!! Chilli, tedo, Ruttashobolwa Nawapendeni sana.
@FP, charminglady, Baba V, Asprin afu wewe ngoja nije Boko utantambua. ndetichia, eliah G. Kamwela, KOKUTONA, watu8 shem tuko pamoko, Nicas Mtei kaka,Pamoko. Filipo salute, Ciello dada,sana tuuuu.
@Zuedayo_mchuzi, sweetlady mambo.
Jamani na wale wooooote waliokuwa wananichungulia nasema hv,
NAWAPENDA SAAAAAAAANAAAAAAAAA................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

hizi ni shukrani au ni pamoja na kuaga....
maana hii ndio mida ya kwenda kuloweka koromea na ndyofuuuu
 
Last edited by a moderator:
Niulize nini tena erick maana hayo mahojiano mm nimeshiba kabisa sijui kama mm utaweza kunihoji kwani nina kigugumizi cha maneno, lakini ngoja niulize kidogo

Kwanini umefikia hatua ya kuweka talk show humu jf? wewe ni presenter wa shows mbalimbali erickb 54? pls nijibu basi erick
haya ni hayo tu mkaka je wataka mengine lakini usijeanguka bure jibu hayo kwa leo
Hahahaaa ladyfurahia hii talk show kaianzisha bibie Zinduna na leo nilikuwa mimi naongoza na going forward ntabaki mimi km nina nafasi.
Hii show inatuweka pamoja kama familia moja.
Ningekuhoji wewe ungeenjopia tena usingeogopa.
usikose wiki ikayo tutakuwa na mtu maarufu sana humu jukwaani.
I remain
Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom