Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
Kaniludia, sijui imekuajeHahahaaaa uliaga manoah
Lol vipi Mourine hajambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaniludia, sijui imekuajeHahahaaaa uliaga manoah
Lol vipi Mourine hajambo?
Hebu ngoja nikamuone oganaiza wa vipindi anipe DVD ya hii shoo...Heheheee pole umekosa uhondo tedo
Mkuu Erickb52 hauna habari kwamba ndoa tayari imeshabatilishwa...?
Ati? Unaomba show? nimekuonea huruma basi waweza fanya nami
nshaghairi .... nimemuomba nicas amekubali, tena show tutaifanyia brajec akishatoka rwanda!!
Erickb52 nakushukuru sana kwa kunipelekesha puta ktk Interview hii,Shukrani kwako. Zinduna,Shoo iko bomba sana na nimeipenda. Chimbuvu,nakupenda Sweetilo Yaani dah.....!!!!!!!!!! Arushaone luv uuuu.....!!!!!! Chilli, tedo, Ruttashobolwa Nawapendeni sana.
@FP, charminglady, Baba V, Asprin afu wewe ngoja nije Boko utantambua. ndetichia, eliah G. Kamwela, KOKUTONA, watu8 shem tuko pamoko, Nicas Mtei kaka,Pamoko. Filipo salute, Ciello dada,sana tuuuu.
@Zuedayo_mchuzi, sweetlady mambo.
Jamani na wale wooooote waliokuwa wananichungulia nasema hv,
NAWAPENDA SAAAAAAAANAAAAAAAAA................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hahaha, yaani usinikumbushe manake kesho jumapili morning glory ni.kwa padre massawe. Nampenda sana Mungu but i wish ibada ingekuwa jioni, mweeh! Madame B, polee. Raha ya maisha ni kuamka nao aisee.
Umenikumbusha mwaka '74,nilienda kuombewa nikaambiwa marufuku kuombewa huku umevaa nguo.
Babu, kwani ina maana wewe meno yeshakuwa butu, morning glory huiwezi tena? Angalia bibi asianze utukutu, life starts at 40, wenzio hapa graph inakwea Paw karibia anakimbia nyumbani sasa.
Umenikumbusha jambo, kuna watu humu jamvini hawajui faida za 6x6, ati wanasema vinalegeza ndoa, ila kwa hii Morning glory wanakosa mambo! Mi huwa naendaga sunday school ili asubuh nipate haki yangu! Kuna haja gani kwenda kwa padri Baptiste hali uso umefubaa, una hasira hata na padri anayehubiri kwa kujiuliza misa itaisha saa ngapi ukaipate haki yako?
unanifukuza? namsubiri ZindunaKimekurudisha nini jf? Juzi si tulifanya sherehe ya kukuaga manoah?
Maureen, hajambo nilikua nae leo siku nzima, sijui hata imekuaje? mie ninasema nina msubili ZindunaNi rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko manoah kuondoka jf lol.
Maureen ni mzima sana, ooh! niliaga ila Zinduna aliniambia ni na game nae namaanisha showHahahaaaa uliaga manoah
Lol vipi Mourine hajambo?
Soki, Kaizer, nemic4u,babu Dc,nicas Mtei, madame B, tedo, Mzalendo, marejesho, manoah...mkalale jamani khaaa....mbona mko tu hapo chini? Wake na waume zenu wanawasubiri kwaajili ya tamutamu.