BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Zinedine Zidane amepata contract ya kuifundisha timu ya taifa ya Qatar kwa miaka minne kwa Pauni milioni 50 ambazo ni sawa na bilioni 152 na milioni 22 za kitanzania kwa mwaka, ambazo atakua analipwa pauni laki 1 na 20 ambazo ni sawa na milioni 364 na ushee kwa siku.
Qatar ndio wataandaa fainal za kombe la dunia mwaka 2022.
Kuna msemo maarufu "ukiona cha nini wengine wanajiuliza watapata lini".
Ni wazi kabisa japo watu wanapindisha pindisha ni kwamba zidane ameondoka Bernabeu sababu ya kutosikilizwa anapotoa ushauri haswa kwenye mambo ya usajili na mengineyo yanayolenga benchi la ufundi, na kuna kipindi watu wamesahau ambapo real iliyumba yumba kwenye mechi za ligi, na sababu ilikua ni hiyo, Zidane akisema hiki kwa maslahi ya timu, mwenye timu(Perez) anaenda tofauti, nahisi huu uamuzi aliufanya muda na alihakikisha kwamba atapambana ili achukue kombe la mwisho la UEFA ili waone umuhimu wake then ASEPE na amelifanikisha hilo.
Qatar ndio wataandaa fainal za kombe la dunia mwaka 2022.
Kuna msemo maarufu "ukiona cha nini wengine wanajiuliza watapata lini".
Ni wazi kabisa japo watu wanapindisha pindisha ni kwamba zidane ameondoka Bernabeu sababu ya kutosikilizwa anapotoa ushauri haswa kwenye mambo ya usajili na mengineyo yanayolenga benchi la ufundi, na kuna kipindi watu wamesahau ambapo real iliyumba yumba kwenye mechi za ligi, na sababu ilikua ni hiyo, Zidane akisema hiki kwa maslahi ya timu, mwenye timu(Perez) anaenda tofauti, nahisi huu uamuzi aliufanya muda na alihakikisha kwamba atapambana ili achukue kombe la mwisho la UEFA ili waone umuhimu wake then ASEPE na amelifanikisha hilo.