Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qatar na mpira wa miguu wapi na wapi? Nadhani lengo lao ni kumtajirisha Zidane tu.
Mwafrika mwenzenu!? My foot! [emoji12]Hongera mwafrika mwenzetu..Qatar lazima wakukubali. Qatar Mungu awabariki na timu yenu iwe na mafanikio makubwa..aameen!
Congratulations Zizou japo mimi hua si mmoja wa Fans wako...mimi hua namkubali Ronaldo De Luis Nazario Lima...ni kweli Perez alikua amkubali Zidane pia Ronaldo na Perez haziivi nazan Ronaldo ataondoka Madrid soon...wachezaji walikua upande wa Zidane
Ustazi mwepesi hajawahi kua star ata wa miaka mitatu kilichompa umaarufu ni mechi moja tu ya fainali 1998 pale state de france .....ambayo ilikua France Vs Brazil ila ni mwepesi sana ndio maana ata Perez hamkubali kwa kifupi ana kikosi bora ila si mtaalam wa mbinu za ukocha ata ilo shavu la quatar ni bahati na jina tu....kiufupi ata ikiangalia kina Maradona mara nyingi star kua kocha mzuri hua ni nadra sanaDe lima ni mchanga sana kwa ustazi..ni kama mbingu na ardhi
Acha achukue hizo hela za waarabu mkuuAmefanya haraka. Angetulia. Bado alitakiwa kufanya kazi na vilabu vya ulaya. National timu haina changamoto za kila wiki kama ligi. Zizou hajawa na exprience kama makocha wengine. Katoka Castilla na kuanza kuifundisha madrid ambayo hajaijenga yeye. Angefuata nyayo za Pep na Luis Endrique.
Kwangu mimi naona amefanya maamuzi mabovu.
Hatari sana.duuuu million 365 per day!!!
Kuna Watu wanabahati aiseee
Acha urongo!!Ustazi mwepesi hajawahi kua star ata wa miaka mitatu kilichompa umaarufu ni mechi moja tu ya fainali 1998 pale state de france .....ambayo ilikua France Vs Brazil ila ni mwepesi sana ndio maana ata Perez hamkubali kwa kifupi ana kikosi bora ila si mtaalam wa mbinu za ukocha ata ilo shavu la quatar ni bahati na jina tu....kiufupi ata ikiangalia kina Maradona mara nyingi star kua kocha mzuri hua ni nadra sana
Hahaha team ZizouAcha urongo!!
Kialgeria?Zidane anazungumza kwa UFASAHA lugha sita
KiAlgeria, Kiarabu, Kifaransa, Kingereza, Kiitaliano and Kiberber(North Africa)
Sasa kialgeria si kiarabu labda ungesema kiberberZidane anazungumza kwa UFASAHA lugha sita
KiAlgeria, Kiarabu, Kifaransa, Kingereza, Kiitaliano and Kiberber(North Africa)
Hahaha team Zizou
Mshahara wa siku moja unauaga umaskini tanzaniaduuuu million 365 per day!!!
Kuna Watu wanabahati aiseee