Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
- Thread starter
-
- #21
Kwasis ambao tuna mahasira ya haraka nmegundua uki avoid pipo yaan ukiwa unaish mwenyew mwenyew inasaidia sana kuwa safe..
Unajiepusha na mabalaa meng hasa ya kwenda huko jela
Point. 👍Linapokuja sawa lolote baya akili ya mwanadamu imekuwa ikilisusa bila kutegemea, ni rahisi sana kususia habari za kifo mtandaoni na kutafuta vichekesho au habari za kufurahisha, Sio bahati mbaya ila ni maumbile asili ya mwanadamu.
Lakini hoja uliyoleta mkuu ni nzuri kwa mwanadamu yeyote ambaye bado hajafikwa na umauti. Sikuwahi hata siku moja kuwaza kwamba mimi mwenyewe ipo siku ntakanyaga rumande achana na gerezani, lakini nilipelekwa rumande. Hii ilinifanya niamini kitendo cha mimi kuwa mwanaume na harakati zangu za utafutaji basi lolote linawezekana.
Binafsi nikushukru, kwa kutoa hizi "basics" ntajitahidi kuwa raia mwema, lakini wakati wa upotofu basi zitumike aidha kwangu au ndugu nitakayemshauri pia.
Kabsaa tukiwa tunaingia tunaamini tutatoka ilaHhahaha kituoni unaogopa😀😀
unakata mwezi had mwaka bado upo ndan had unaozoea nahis mkuu ww upo shirika la wakimbiz nn ukienda cheq warundiNilitumwa kikazi gereza fulani, aiseeee kumbe kule pasikie tu, jamani nyie lile limlango lione tu ila ukiingia kutoka ni ngumu.
Basi nilivyofika nikajitambulisha nimetumwa na mamlaka fulani kumuona mfungwa fulani nikaonyesha docs anazotakiwa kusaini.
Sikupata usumbufu wowote askari walinipokea vizuri.nilikalishwa sehemu baada ya muda wakamleta nikaongea nae ila mbele ya askari.
Niliongea nae akaomba hizo documents nimpelekee mtu fulani baada ya yeyekusaini na wakagonga mhuri wa magereza kuwa kapokea.
Nafasi aloipata ni kupitia hiyo document nilopeleka ataweza pata hata wakili waongee tho nafasi ya kumsaidia ilikuwa ni ndogo.
Machache niliyoyaona ndani ni kusafi sana maua kila kitu mazingira kwa nje ni safi.
Wafungwa ambao walikuwa hawajavaa sale niliona wakiwa katika vazi zao na wasafi tu.
Nilichogundua kule kuna nidhamu ya hali ya juu.kila kitu ni utaratibu.
Wakati nikiwa pale mlangoni kwa ndani maafande walinzi walinambia mtu anapoingizwa pale kwa mara ya kwanza uamini kuwa atatoka soon ila sio kweli, kuingia ni rahisi ila kutoka sio unavyodhani.
Kwa ulinzi ule inabidi kuwa mpole ukiwaza kutoroka lazima uumie. Kwanza unaanzaje kutoroka kwa fensi ile? Fensi ndefu vile kama barabara?
Nilijifunza tuishi kwa kuwa makini ukiona mtu anataka kukuletea msala jiweke pembeni.mambo ya ugonvi, kuzurumu watu na mambo mengine mabaya tuepukane nayo.
Gereza ni kaburiii wewe hujuiGereza sio kaburi....Ila wengi walio kule hawana hatia...
Nasikia na gereza la Man'gola utalima vitunguu ndani ya maji kama rubaMaweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(kilimanjaro) na kisongo(arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto,kazi,mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote tanzania likifuatiwa na gereza la songwe na gereza lililopo ruvuma!
Ruvuma litakuwa la kitai ni gereza la kilimo liko wilaya ya Mbinga na ni pembezoni mwa barabara kuu ya Mbinga songeaMaweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(kilimanjaro) na kisongo(arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto,kazi,mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote tanzania likifuatiwa na gereza la songwe na gereza lililopo ruvuma!
Hayo Mambo hata huku uraiani yapo.Ongeza nyama kwa wale wafungwa wanaogeuzwa wanawake hii ni kweli
Na wewe usiku wote huo inakuwaje unasoma bandiko la mdau!?Mkuu usiku ote huu eniwei Huu ushaur utamfaa m/kit
Sio wengi hawana hatia ,sema baadhi hawana hatiaGereza sio kaburi....Ila wengi walio kule hawana hatia...
bilashaka gereza la keko hiloNilitumwa kikazi gereza fulani, aiseeee kumbe kule pasikie tu, jamani nyie lile limlango lione tu ila ukiingia kutoka ni ngumu.
Basi nilivyofika nikajitambulisha nimetumwa na mamlaka fulani kumuona mfungwa fulani nikaonyesha docs anazotakiwa kusaini.
Sikupata usumbufu wowote askari walinipokea vizuri.nilikalishwa sehemu baada ya muda wakamleta nikaongea nae ila mbele ya askari.
Niliongea nae akaomba hizo documents nimpelekee mtu fulani baada ya yeyekusaini na wakagonga mhuri wa magereza kuwa kapokea.
Nafasi aloipata ni kupitia hiyo document nilopeleka ataweza pata hata wakili waongee tho nafasi ya kumsaidia ilikuwa ni ndogo.
Machache niliyoyaona ndani ni kusafi sana maua kila kitu mazingira kwa nje ni safi.
Wafungwa ambao walikuwa hawajavaa sale niliona wakiwa katika vazi zao na wasafi tu.
Nilichogundua kule kuna nidhamu ya hali ya juu.kila kitu ni utaratibu.
Wakati nikiwa pale mlangoni kwa ndani maafande walinzi walinambia mtu anapoingizwa pale kwa mara ya kwanza uamini kuwa atatoka soon ila sio kweli, kuingia ni rahisi ila kutoka sio unavyodhani.
Kwa ulinzi ule inabidi kuwa mpole ukiwaza kutoroka lazima uumie. Kwanza unaanzaje kutoroka kwa fensi ile? Fensi ndefu vile kama barabara?
Nilijifunza tuishi kwa kuwa makini ukiona mtu anataka kukuletea msala jiweke pembeni.mambo ya ugonvi, kuzurumu watu na mambo mengine mabaya tuepukane nayo.