Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
- Thread starter
- #21
Hhahaha kituoni unaogopa😀😀
Kwasis ambao tuna mahasira ya haraka nmegundua uki avoid pipo yaan ukiwa unaish mwenyew mwenyew inasaidia sana kuwa safe..
Unajiepusha na mabalaa meng hasa ya kwenda huko jela