Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Hhahaha kituoni unaogopa😀😀
Kwasis ambao tuna mahasira ya haraka nmegundua uki avoid pipo yaan ukiwa unaish mwenyew mwenyew inasaidia sana kuwa safe..

Unajiepusha na mabalaa meng hasa ya kwenda huko jela
 
Linapokuja sawa lolote baya akili ya mwanadamu imekuwa ikilisusa bila kutegemea, ni rahisi sana kususia habari za kifo mtandaoni na kutafuta vichekesho au habari za kufurahisha, Sio bahati mbaya ila ni maumbile asili ya mwanadamu.

Lakini hoja uliyoleta mkuu ni nzuri kwa mwanadamu yeyote ambaye bado hajafikwa na umauti. Sikuwahi hata siku moja kuwaza kwamba mimi mwenyewe ipo siku ntakanyaga rumande achana na gerezani, lakini nilipelekwa rumande. Hii ilinifanya niamini kitendo cha mimi kuwa mwanaume na harakati zangu za utafutaji basi lolote linawezekana.

Binafsi nikushukru, kwa kutoa hizi "basics" ntajitahidi kuwa raia mwema, lakini wakati wa upotofu basi zitumike aidha kwangu au ndugu nitakayemshauri pia.
Point. 👍
 
Umeongea point mkuu
Hhahaha kituoni unaogopa😀😀
Kabsaa tukiwa tunaingia tunaamini tutatoka ila
Nilitumwa kikazi gereza fulani, aiseeee kumbe kule pasikie tu, jamani nyie lile limlango lione tu ila ukiingia kutoka ni ngumu.

Basi nilivyofika nikajitambulisha nimetumwa na mamlaka fulani kumuona mfungwa fulani nikaonyesha docs anazotakiwa kusaini.

Sikupata usumbufu wowote askari walinipokea vizuri.nilikalishwa sehemu baada ya muda wakamleta nikaongea nae ila mbele ya askari.

Niliongea nae akaomba hizo documents nimpelekee mtu fulani baada ya yeyekusaini na wakagonga mhuri wa magereza kuwa kapokea.

Nafasi aloipata ni kupitia hiyo document nilopeleka ataweza pata hata wakili waongee tho nafasi ya kumsaidia ilikuwa ni ndogo.

Machache niliyoyaona ndani ni kusafi sana maua kila kitu mazingira kwa nje ni safi.

Wafungwa ambao walikuwa hawajavaa sale niliona wakiwa katika vazi zao na wasafi tu.

Nilichogundua kule kuna nidhamu ya hali ya juu.kila kitu ni utaratibu.

Wakati nikiwa pale mlangoni kwa ndani maafande walinzi walinambia mtu anapoingizwa pale kwa mara ya kwanza uamini kuwa atatoka soon ila sio kweli, kuingia ni rahisi ila kutoka sio unavyodhani.

Kwa ulinzi ule inabidi kuwa mpole ukiwaza kutoroka lazima uumie. Kwanza unaanzaje kutoroka kwa fensi ile? Fensi ndefu vile kama barabara?
Nilijifunza tuishi kwa kuwa makini ukiona mtu anataka kukuletea msala jiweke pembeni.mambo ya ugonvi, kuzurumu watu na mambo mengine mabaya tuepukane nayo.
unakata mwezi had mwaka bado upo ndan had unaozoea nahis mkuu ww upo shirika la wakimbiz nn ukienda cheq warundi
 
Maweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(Kilimanjaro) na kisongo(Arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto, kazi, mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote Tanzania likifuatiwa na gereza la Songwe na gereza lililopo Ruvuma!
 
Maweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(kilimanjaro) na kisongo(arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto,kazi,mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote tanzania likifuatiwa na gereza la songwe na gereza lililopo ruvuma!
Nasikia na gereza la Man'gola utalima vitunguu ndani ya maji kama ruba
 
Maweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(kilimanjaro) na kisongo(arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto,kazi,mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote tanzania likifuatiwa na gereza la songwe na gereza lililopo ruvuma!
Ruvuma litakuwa la kitai ni gereza la kilimo liko wilaya ya Mbinga na ni pembezoni mwa barabara kuu ya Mbinga songea
 
Kama unadhani jela ni shule mpeleke mwanao, sio kuzuri hata kidogo

Hakuna kitu muhimu kwa binadamu kama uhuru, ndugu zangu tuishi na watu vizuri tuepukeni migongano na ugomvi usio na maana hasa wale wenzangu na mimi wenye hasira za karibu na kupanic fasta.. wizi, udokozi na makosa madogo madogo ya kisheria tujiepushe nayo
 
Vp sehem za kulala zinakuwa jena ratiba ya siku nzima, hakika tuepushiwe mbali kikombe hicho.
 
Nilitumwa kikazi gereza fulani, aiseeee kumbe kule pasikie tu, jamani nyie lile limlango lione tu ila ukiingia kutoka ni ngumu.

Basi nilivyofika nikajitambulisha nimetumwa na mamlaka fulani kumuona mfungwa fulani nikaonyesha docs anazotakiwa kusaini.

Sikupata usumbufu wowote askari walinipokea vizuri.nilikalishwa sehemu baada ya muda wakamleta nikaongea nae ila mbele ya askari.

Niliongea nae akaomba hizo documents nimpelekee mtu fulani baada ya yeyekusaini na wakagonga mhuri wa magereza kuwa kapokea.

Nafasi aloipata ni kupitia hiyo document nilopeleka ataweza pata hata wakili waongee tho nafasi ya kumsaidia ilikuwa ni ndogo.

Machache niliyoyaona ndani ni kusafi sana maua kila kitu mazingira kwa nje ni safi.

Wafungwa ambao walikuwa hawajavaa sale niliona wakiwa katika vazi zao na wasafi tu.

Nilichogundua kule kuna nidhamu ya hali ya juu.kila kitu ni utaratibu.

Wakati nikiwa pale mlangoni kwa ndani maafande walinzi walinambia mtu anapoingizwa pale kwa mara ya kwanza uamini kuwa atatoka soon ila sio kweli, kuingia ni rahisi ila kutoka sio unavyodhani.

Kwa ulinzi ule inabidi kuwa mpole ukiwaza kutoroka lazima uumie. Kwanza unaanzaje kutoroka kwa fensi ile? Fensi ndefu vile kama barabara?
Nilijifunza tuishi kwa kuwa makini ukiona mtu anataka kukuletea msala jiweke pembeni.mambo ya ugonvi, kuzurumu watu na mambo mengine mabaya tuepukane nayo.
bilashaka gereza la keko hilo
 
Back
Top Bottom