Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Mkuu haujakata kiu cha swali langu.
Hapo umeeleza namna ya ukung'utaji wake tu.

Ninachotaka kuelewa, pamoja na process hizo za kupimwa na nini sijui, mboko zinatembezwa siku ya ngapi tangu utinge jela kuanza kutumikia adhabu?

Nikatolea mfano wa Sabaya ambaye alifungwa na kukata rufaa, je alishapigwa tayari hata kabla ya mchakato wake wa rufaa haujasikilizwa, au inakuwakuwaje hapo?
Sidhani kama jamaa ataweza kukujibu hili swali vizuri hii adhabu haitolewi sana sasa hv ilikua nyuma kwa wale wabakaji hata wanaotandikwa hawapendi kusema naona jaji alimfutia sabaya akampa miaka 30 bila viboko fuatilia hukumu yake utajua jaji alimwondolea
 
Mkuu haujakata kiu cha swali langu.
Hapo umeeleza namna ya ukung'utaji wake tu.

Ninachotaka kuelewa, pamoja na process hizo za kupimwa na nini sijui, mboko zinatembezwa siku ya ngapi tangu utinge jela kuanza kutumikia adhabu?

Nikatolea mfano wa Sabaya ambaye alifungwa na kukata rufaa, je alishapigwa tayari hata kabla ya mchakato wake wa rufaa haujasikilizwa, au inakuwakuwaje hapo?
Siku unayo hukumiwa ndo siku hiyo hiyo utaianza adhabu yako mzee na ndo siku utayoenda kukabidhiwa uniform za orange ila hautapigwa Hadi upimwe afya kwanza
Biashara ya kukata rufaa hiyo ni juu yako wenyewe wataanza kukupa huduma unayo stahili kama mfungwa na siyo mahabusu tena kwanzia siku ya hukumu.
 
Ushauri mzuri kiufupi ukiwa masikini jela utapata tabu Sana.
Yote uliyoyasema bila pesa haiwezekani.
Ukinayo utapata KILA kitu jela.
Ukali wa askari ni stress za maslai mbuzi watwange pesa tu
 
Maweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(kilimanjaro) na kisongo(arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto,kazi,mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote tanzania likifuatiwa na gereza la songwe na gereza lililopo ruvuma!
Mateso yote ya nn si unajipiga kitanzi tu kufa kiume kuliko kuwafanyia watu Kazi wale jasho lako
 
Mkuu mimi nilifikiri ukifungwa unaondolewa uhuru wako na unatakiwa kupewa mahitaji yote ya msingi kama binadamu isipokuwa ule uhuru wako wa kuchangamana na watu wengine, je, ni sahihi wafungwa kufanya kazi wakiwa gerezani endapo hukumu zao hazikueleza kwamba wanapewa kifungo na kufanyishwa kazi, ziwe nyepesi au kazi ngumu. Mwenye uzoefu wa mataifa mengine anaweza kutupatia pia....
Ili wasiwe na msongo
 
Kwa maelezo haya ni dhahiri Magufuli yupo motoni, maana pamoja na dhahama zote hizi yeye alikuwa anaona hazitoshi aliwasema Askari magereza wawatese kwelikweli wafungwa.

Sijawahi kuona Mtanzania katili kama huyo mwendakuzimu.

yeye amekufa tayari,kazi kwako kujichunga usijeyavagaa.

vinginvyo utaenda kushuhudia ushetani wake kwa milango yote mitano ya fahamu,tena unavyoonekana wewe hata tundu utatoa.

umelegea sana.
 
Huu ushauri ungemfaa yule dogo wa Chuga ambae anadaiwa kumdedisha maza wake ...

Je aina ya kesi itaamua ni aina gani ya gereza mfungwa apelekwe ? mfano Mauaji n.k
yule atalainika,kuna siku napiga stories na wafungwa akaletwa dogo ambaye ana kesi ya kumtishia kifo mama yake,alipigwa na wananchi so anachechemea
yale mafungwa limoja likasema "dogo we ni mgeni wangu,ukifika wambie hivo😅" lingine "dogo ngoja tuje utanyooka tu wewe" dogo alinywea akapata stress
 
Back
Top Bottom