Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
- Thread starter
-
- #101
Sidhani kama jamaa ataweza kukujibu hili swali vizuri hii adhabu haitolewi sana sasa hv ilikua nyuma kwa wale wabakaji hata wanaotandikwa hawapendi kusema naona jaji alimfutia sabaya akampa miaka 30 bila viboko fuatilia hukumu yake utajua jaji alimwondoleaMkuu haujakata kiu cha swali langu.
Hapo umeeleza namna ya ukung'utaji wake tu.
Ninachotaka kuelewa, pamoja na process hizo za kupimwa na nini sijui, mboko zinatembezwa siku ya ngapi tangu utinge jela kuanza kutumikia adhabu?
Nikatolea mfano wa Sabaya ambaye alifungwa na kukata rufaa, je alishapigwa tayari hata kabla ya mchakato wake wa rufaa haujasikilizwa, au inakuwakuwaje hapo?
Umesema kwa dhati sana ya moyo wako, Mungu yupo na wewe, maana dhamira yako ya utii bila shuruti itakulinda na kukuongoza daima siku zote za mausha yako.***** nilikaa siku 5 pale madale MAHABUSU
Sitaki shida na jamhuri
Labda itokee tu bahati mbaya Kama ilivyotokea.
Siku unayo hukumiwa ndo siku hiyo hiyo utaianza adhabu yako mzee na ndo siku utayoenda kukabidhiwa uniform za orange ila hautapigwa Hadi upimwe afya kwanzaMkuu haujakata kiu cha swali langu.
Hapo umeeleza namna ya ukung'utaji wake tu.
Ninachotaka kuelewa, pamoja na process hizo za kupimwa na nini sijui, mboko zinatembezwa siku ya ngapi tangu utinge jela kuanza kutumikia adhabu?
Nikatolea mfano wa Sabaya ambaye alifungwa na kukata rufaa, je alishapigwa tayari hata kabla ya mchakato wake wa rufaa haujasikilizwa, au inakuwakuwaje hapo?
Hahaha ndio home nn mkuuNimesoma mengi moyo umeshituka kuona umetaja mbarali [emoji23][emoji23]
Afrika jela ni kwa ajili ya watu masikini ukimuona tajiri jela jua kaingia 18 za wanasiasaGereza sio kaburi....Ila wengi walio kule hawana hatia...
Mateso yote ya nn si unajipiga kitanzi tu kufa kiume kuliko kuwafanyia watu Kazi wale jasho lakoMaweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(kilimanjaro) na kisongo(arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto,kazi,mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote tanzania likifuatiwa na gereza la songwe na gereza lililopo ruvuma!
Ili wasiwe na msongoMkuu mimi nilifikiri ukifungwa unaondolewa uhuru wako na unatakiwa kupewa mahitaji yote ya msingi kama binadamu isipokuwa ule uhuru wako wa kuchangamana na watu wengine, je, ni sahihi wafungwa kufanya kazi wakiwa gerezani endapo hukumu zao hazikueleza kwamba wanapewa kifungo na kufanyishwa kazi, ziwe nyepesi au kazi ngumu. Mwenye uzoefu wa mataifa mengine anaweza kutupatia pia....
Kwa maelezo haya ni dhahiri Magufuli yupo motoni, maana pamoja na dhahama zote hizi yeye alikuwa anaona hazitoshi aliwasema Askari magereza wawatese kwelikweli wafungwa.
Sijawahi kuona Mtanzania katili kama huyo mwendakuzimu.
kuna mpuuzi aliiba piki piki ya askari siku anatoka jela😅Hamna mjanja gerezani sema kuna wana jela kwao kama home anaachiwa mwezi huu mwezi ujao unamwona tena ngome had mabwana jela wanakua wanawafaham.
yule atalainika,kuna siku napiga stories na wafungwa akaletwa dogo ambaye ana kesi ya kumtishia kifo mama yake,alipigwa na wananchi so anachechemeaHuu ushauri ungemfaa yule dogo wa Chuga ambae anadaiwa kumdedisha maza wake ...
Je aina ya kesi itaamua ni aina gani ya gereza mfungwa apelekwe ? mfano Mauaji n.k