SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Profile yako inaonyesha umezaliwa mwaka 1988, lakini hapo juu unaongelea JKT ya Nyerere. Iliwezekana vipi ukahudhururia JKT kipindi cha Nyerere wakati umezaliwa 1988?Wajameni nyie acheni tu!! JKT ya Nyerere je? achana na ya Mwinyi hii ya juzijuzi tu!...yaani ni usiombe kuingia huko eti kwa mujibu wa sheria..mwee!! kukimbia kila siku iendayo kwa Mungu kisa Ukaka mavu!
CHakula kikija panga foleni tu!! hakuna cha kusema sina Bakuri wala sahani utajua weye!! km vepe umeshiba pisha wengine tena faster!! sasa weye jifanye Lugumya uone moto wake!
utabebwa juu kwa juu unapigwa karinye karinye mpaka akili ikukae sawa.......mlioenda Opp. programme ya chama mnalijua hili fika! sitanii!!...Afande Mandevu, Magwega wa chiguru, Afande sipi, Sanga wewee wasikiege tu!
Sasa pote maboya kwenye Gwaride ujifange Nanga utalijua Jeshi la JKT!...jifanye utoroke uone moto wa kila rangi!! labda wende Mazimaaa!...wana rupango zao za kijeshi hapo lazima uyambe kifukuto kila siku dakika 45 unapigwa Drill!!
Jiwe msimuone vile alikuwa Nanga kweli!.......kuna kila aina ya miendo kule! Mfano mwendo wa kunyakua, kukwepa ndege, afande kajamba....nk sasa km ivo< si mleta mada ungekimbia weye??
Magereza kule ni nafuu kuna wstu wazima wengine wakubwa km kina Mbowe! lkn JKT wooote vijana aseee!!....sasa usiombe uwende mafunzo yakivita yaani ukiwa lele mama unakufa au kuwa kilema kabisaa!!
Mnapo chaji afande wanakuja na viboko vya ngozi wana chapa ili ukimbie mstari wa mbele ..mkifika huko mnako tarajia usiku mnaanza kuchimba maandaki tena faster! wawili wawili !!
kuna jamaa moja Dr Ndaro Essaba, yuko Arusha, yeye bana alijipa kaugonjwa kakudumu kila siku kamkono kamepinda amefunga pop tuuu!! hkn aliye jua ni Dr yule jamaa!
pale kila siku unaamka saa kumi, unaanza kunyakua tena amsha amsha yeynyewe unaweza kucheka lkn ita kuumiza!! ..afande anafanya hivi ''anachukua kajiwe anatupa kwenye bati ''taaa'' kazi kwako!
Hapo haijalishi ni siku kuu!! wala cha weekend Tatizo la mleta Mada hajapitia kote huku akaona mambo yalivyo ndo maana ameandika hapa!!...na hapo huja chaguliwa kwenda afisa Cadet!! huko inabaki siri!
Unashangaa kujaza lori mchanga kuruta?? yaani Mali ya Jeshi ichafuke kuruta uko hapo?? wewe ndo utakuwa lori! tena dakika sifuri mchanga umejaa! Na ujenzi unaanza palepale! kule walikuwa wanenda kwa malengo tu!
tatizo lenu mlikimbia jeshini ndo matokeo yake haya!! kuna wale wadogo ambao hawakulikuta tuna wasamehe!! lkn kwa wale mlio enda kwa mujibu wa sheria weee!! mnajua fika!! kina Mataka ni meneja siku hizi uwanja wa ndege!
Hapo bado zileee!! shule za Bure za Mwalimu Nyerere jamani weee!! form one unaitwa Nyoya, nyumbu, mgogo nk!! hasa waliko kuwa wamejaa wakurya kulee kanda ya ziwa!! hapo vilikuwa ni vituo vidogo vya ki-jeshi jamani mwee!!
japo kwa nje utakiona poa!! kifo ukilema ni nje nje!! ..kusoma ilikuwa km unaenda vitani sasa mpaka uje uzoee mazingira e bana weee!!...na wakati wa Mwinyi mabo yalianza kupoa sana lkn huko nyuma weee!
Naomba unielimishe.
View attachment 2256315