Zipi faida na hasara za pikipiki za umeme za kuchaji?

Zipi faida na hasara za pikipiki za umeme za kuchaji?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nimeona wengi waliozinunua wanaziuza tena... Nikapata maswali kidogo. Shida ni nini tena?

Faida ipo kuwa sasa badala ya kununua Petrol utakuwa una charge.

Nyingi kwa maelezo ni kuwa una charge masaa 5 unatembea kms 60. Lakini nikajiuliza inatumia Units ngapi kuicharge hayo masaa matano? Maana hili nalo neno. Unaweza kuta umehamishia gharama kwenye umeme. Kila ninayemuuliza hana majibu.

Nyingi nimeona ni za kichina. Nikauliza life span ya battery ikoje? Sijapata majibu na ndio maana nawaza pengine wanaouza sasa ni wale ambao tayari battery zimeshaleta shida. Na je zinakaa muda gani kabla ya kubadilisha?

Nikawaza zaidi ikichoka unaweza badilisha? Kwa maana ya kwamba zipo mbadala wake? Kama zipo Tsh ngapi?

Niliendelea kuwaza zaidi je hizi tukutuku zinaweza beba uzito kiasi gani? Je kilo 200 inaweza beba au hata 180 kwa watu angalau wawili wenye kms 90 kila mtu.

Naombeni tupeane uzoefu na mwisho tuambiane Brand ipi ni nzuri zaidi.
 
Mimi nilikua nayo tena kubwa kabisa, sio hivyo vidogo.
Kikubwa lazima ufanye research kabla haujanunua.
Pia, angalia ukubwa wa battery na aina ya battery (vitaathiri sana range, max speed na uchakavu wa battery).
 
Mi nilikua nayo tena kubwa kabisa, sio ivo vidogo.
Kikubwa lazima ufanye research kabla haujanunua.
Pia, angalia ukubwa wa battery na aina ya battery (vitaathiri sana range, max speed na uchakavu wa battery).
Toa uzoefu wako. Ilikuwa aina gani, kwanini uliuza au gawa? Battery kubwa size gani? Ulikuwa na brand gani?
 
Nimeona wengi waliozinunua wanaziuza tena...nikapata maswali kidogo. Shida ni nini tena?

Faida ipo kuwa sasa badala ya kununua Petrol utakuwa una charge.

Nyingi kwa maelezo ni kuwa una charge masaa 5 unatembea kms 60. Lakini nikajiuliza inatumia Units ngapi kuicharge hayo masaa matano? Maana hili nalo neno. Unaweza kuta umehamishia gharama kwenye umeme.kila ninayemuuliza hana majibu.

Nyingi nimeona ni za kichina. Nikauliza life span ya battery ikoje?sijapata majibu na ndo maana nawaza pengine wanaouza sasa ni wale ambao tayari battery zimeshaleta shida. Na je zinakaa muda gani kabla ya kubadilisha?

Nikawaza zaidi ikichoka unaweza badilisha ? Kwa maana ya kwamba zipo mbadala wake? Kama zipo tsh ngapi?

Nliendelea kuwaza zaidi je hizi tukutuku zinaweza beba uzito kiasi gani?.je kilo 200 inaweza beba au hata 180 kwa watu angalau wawili wenye kms 90 kila mtu.

Naombeni tupeane uzoefu na mwisho tuambiane Brand ipi ni nzuri zaidi.
kwa uzoefu wangu ilibidi kwenye milima nishuke na kukokota
 
Mi nilikua nayo tena kubwa kabisa, sio ivo vidogo.
Kikubwa lazima ufanye research kabla haujanunua.
Pia, angalia ukubwa wa battery na aina ya battery (vitaathiri sana range, max speed na uchakavu wa battery).
Toa uzoefu wako. Ilikuwa aina gani.kwa nini uliuza au gawa? Battery kubwa size gani?ulikuwa na brand
kwa uzoefu wangu ilibidi kwenye milima nishuke na kukokota
🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nilikua nayo tena kubwa kabisa, sio hivyo vidogo.
Kikubwa lazima ufanye research kabla haujanunua.
Pia, angalia ukubwa wa battery na aina ya battery (vitaathiri sana range, max speed na uchakavu wa battery).
Jibu sasa alicho uliza mtoa mada 😁😁
 
Mimi nilikua nayo tena kubwa kabisa, sio hivyo vidogo.
Kikubwa lazima ufanye research kabla haujanunua.
Pia, angalia ukubwa wa battery na aina ya battery (vitaathiri sana range, max speed na uchakavu wa battery).
Pamoja na majibu utakayo leta.. Ni wapi pikipiki zenye muundo wa kipekee zinapatikana kwa hapa nchini achana na zile ambazo siti zake ni kama zimebinuka na kufanya muendeshaji aonekane kama anaangukia mbele

Yani namaanisha nataka pikipiki zenye muundo kama fisi shokapu"" za mbele ndefu za nyuma fupi na siti nzuri
 
Kwanza chagua battery, zipo aina nyingi ila Lithium-ion ndio maarufu zaidi.

Hafu specifications za battery, kuna voltage ilikua 72V na power ilikua 8,000Watt.

Max speed ilikua 120km/h na range ilikua 100km. Ingawa kuna factor mfano ukiwa unatembea speed kubwa range inapungua sana inaweza kua ata 75km, au kama kuna milima sana au mkipanda wawili.

Kuchaji mara nyingi inachukua unit 1.5 hadi 2 itategemea ilianza na asilimia ngapi unavyochaji.

Ila mi sikuona hasara maana mara nyingi nilikua nachaji kazini.

Ilikua naked sport bike kama hii (ingawa sio hii picha yake sijaiona kwenye simu)

1664703442892.png


Usinunue ili usave hela ya mafuta. Labda ununue kujiburudisha ila. Haina sauti kabisa. Hamna service ya oil sijui nn.
 
Pamoja na majibu utakayo leta.. Ni wapi pikipiki zenye muundo wa kipekee zinapatikana kwa hapa nchini achana na zile ambazo siti zake ni kama zimebinuka na kufanya muendeshaji aonekane kama anaangukia mbele

Yani namaanisha nataka pikipiki zenye muundo kama fisi shokapu"" za mbele ndefu za nyuma fupi na siti nzuri
Za umeme mi nili import. Ila kama za gas mjini zipo. Ukitaka za kulala ni sport/street bike mfano Honda CBR, Yamaha R series, Kawasaki Ninja, KTM RC, ila za kusimama straight chukua Naked version zake mfano Honda CB, KTM Duke etc.

Bei ndio za moto kidogo tegemea na cc. Chukua engine size kuanzia 300 na lazima iwe liquid cooled.
 
Za umeme mi nili import. Ila kama za gas mjini zipo. Ukitaka za kulala ni sport/street bike mfano Honda CBR, Yamaha R series, Kawasaki Ninja, KTM RC, ila za kusimama straight chukua Naked version zake mfano Honda CB, KTM Duke etc.

Bei ndio za moto kidogo tegemea na cc. Chukua engine size kuanzia 300 na lazima iwe liquid cooled.
Cc ndogo kabisa kwasababu ni ya kuzurulia tu mtaani bei zinacheza kwenye sh ngapi?/ sihitaji za umeme
 
Kwanza chagua battery, zipo aina nyingi ila Lithium-ion ndio maarufu zaidi.

Hafu specifications za battery, kuna voltage ilikua 72V na power ilikua 8,000Watt.

Max speed ilikua 120km/h na range ilikua 100km. Ingawa kuna factor mfano ukiwa unatembea speed kubwa range inapungua sana inaweza kua ata 75km, au kama kuna milima sana au mkipanda wawili.

Kuchaji mara nyingi inachukua unit 1.5 hadi 2 itategemea ilianza na asilimia ngapi unavyochaji.

Ila mi sikuona hasara maana mara nyingi nilikua nachaji kazini.

Ilikua naked sport bike kama hii (ingawa sio hii picha yake sijaiona kwenye simu)

View attachment 2374695

Usinunue ili usave hela ya mafuta. Labda ununue kujiburudisha ila. Haina sauti kabisa. Hamna service ya oil sijui nn.
Kwa ufatiliaji wangu wa vyombo vya usafiri vinavyotumia mafuta vs umeme, nadhani, narudia tena nadhani, costs of running hazitofautiana sana. Zinapigiwa debe kwa sababu ya kuhifadhi mazingira tu. BTW pikipiki za umeme hazina mdadi kabisa kwa sababu ya kukosa mlio.
 
Ya kwanza hiyo sijaiona ila ya pili na tatu zipo nyingi saba bro. Ngoja nikuoneshe zinazouzwa. Mfano tafuta Royal Enfield dah utaenjoy.
Nioneshee mkuu na bei zake zinacheza kwenye sh ngapi.
 
Back
Top Bottom