Ni kweli wanakata hio 18% labda swali la kujiuliza hio asilimia wanayokatwa ni yanini? na Je inamuathiri vipi mfanyabiashara?Ile risiti nikiisoma naona wakata asilimia 18 ya ulichouza
Kama umeuza kaki inakatwa 18,000
Naomba kurekebishqa kama sijaelewa pale
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Tatizo inafichua Siri zote km ulichanganya na mali za magumashi mf duka ukaletewa sukari toka kona au mwenzako kafunga kwa kufilisika mauzo yote yataonekana ni ziada. au Kituo cha mafuta huwezi shushiwa na (tank limeharibika haliendelei na Safari Zambia/ Burundi) mafuta km hukuyanunua Depot tra watakumaliza. Au una duka la kilimo huwezi weka mbegu zako au mifagio uliyozalisha mwenyewe nyumbaniWakuu,
Kumekuwa na mvutano sana kati Serikali kwa maana ya TRA na wafanyabiashara ambapo wafanyabiashara wengi hawapendi kutoa risiti hizi za mashine(EFD), na kama wakitoa basi itabidi uchague kupewa yenye kodi(ambapo bidhaa utauziwa bei juu au upewe risiti ya kutembelea tu(Utauziwa bidhaa bei pungufu).
Sasa naomba wazoefu wa biashara waniambie ni zipi hasara za kutumia hizi mashine za EFD(Kwa maana ya kutoa risiti kipitia hizi mashine?
Na pia zipi ni Faida za kutumia mashine hizi kwa mfanyabiashara?
Karibuni .
Yaani hapo ni pagumu kwa kweli asilimia 18 ni kubwa sana tena sanaMuuza Duka kanunua mzigo kutoka kwa mfanyabiashara mkubwa e.g Unga shilingi 100,000
Muuza duka anauleta dukani kwake na kuamua kuuza shilingi 120,000
20,000 ndio Gross profit.
EFD inamtaka atoe risiti ya shilingi 120,000 ambapo ndani yake kuna mtaji na faida.
Kodi 18% ya 120,000 ni 21,6000
Kodi ni kubwa kuliko faida ulioipanga ya shilingi 20,000
Wafanyabiashara wengi hawajaelimishwa kuhusiana na huo mkanganyiko hivo wengi wameishia kukwepa kutoa risiti
Kama faida ni 20,000 na Kodi ni 21,600 mbona biashara unaifanyia serikali sasa?Muuza Duka kanunua mzigo kutoka kwa mfanyabiashara mkubwa e.g Unga shilingi 100,000
Muuza duka anauleta dukani kwake na kuamua kuuza shilingi 120,000
20,000 ndio Gross profit.
EFD inamtaka atoe risiti ya shilingi 120,000 ambapo ndani yake kuna mtaji na faida.
Kodi 18% ya 120,000 ni 21,6000
Kodi ni kubwa kuliko faida ulioipanga ya shilingi 20,000
Wafanyabiashara wengi hawajaelimishwa kuhusiana na huo mkanganyiko hivo wengi wameishia kukwepa kutoa risiti
Asante kuna kitu nimejifunza kwenye maelezo yako ilaTatizo inafichua Siri zote km ulichanganya na mali za magumashi mf duka ukaletewa sukari toka kona au mwenzako kafunga kwa kufilisika mauzo yote yataonekana ni ziada. au Kituo cha mafuta huwezi shushiwa na (tank limeharibika haliendelei na Safari Zambia/ Burundi) mafuta km hukuyanunua Depot tra watakumaliza. Au una duka la kilimo huwezi weka mbegu zako au mifagio uliyozalisha mwenyewe nyumbani
vyote lazima vijulikane chanzo cha hiyo biashara ukifilisika Mali inayobaki wake waione ndipo wafunge faili lako na TIN
Tatizo Iingine chinga anakaa mbele ya duka anauza kiatu km chako cha 20,000/ kwa EFD yeye anauza 5,000 bila risiti Tra na Govt wawaondoe kwanza ndio waanze msako
NI hayo nijuayo ngoja wake wenyewe
Kodi ya pango unapompa mwenye nyumba yeye hatoi risiti Ila ukimpa 300,000/ kwa mwezi, na yote kwa mwaka, wewe utapeleka TRA 30,000/ nyingine kabisa eti ya mwenye nyumba kwa mwezi kwa mwaka bado service levy ya Jiji 120,000/ kwa mwaka usafi taka ngumu 180,000/ kwa mwaka ukiwaonesha TRA hawazitambui kuwa NI faida baada ya kuuza soda au bia wanaichukua yote hivyo unaongezea vitu vya pembeni visivyo na risiti km nyama choma au guest bubu bila hivyo ni.kufungaAsante kuna kitu nimejifunza kwenye maelezo yako ila
1. Kama hujachanganya na Mali za magumashi na hakuna mmachinga nje ya duka lako bado kuna kuna hasara ?
Kama ni hivyo wanapaswa kupitia upya hili suala maana wanaweza kuwa wanapoteza zaidi kuliko wanachokusanya maana watu watatafuta kila mbinu wakwepe kodiKodi ya pango unapompa mwenye nyumba yeye hatoi risiti Ila ukimpa 300,000/ kwa mwezi, na yote kwa mwaka, wewe utapeleka TRA 30,000/ nyingine kabisa eti ya mwenye nyumba kwa mwezi kwa mwaka bado service levy ya Jiji 120,000/ kwa mwaka usafi taka ngumu 180,000/ kwa mwaka ukiwaonesha TRA hawazitambui kuwa NI faida baada ya kuuza soda au bia wanaichukua yote hivyo unaongezea vitu vya pembeni visivyo na risiti km nyama choma au guest bubu bila hivyo ni.kufunga
Mf mwingine una duka la nguo unapata Oda ya shule au masister uniform 1000 unaweka cherehani zako unamaliza Oda kulipwa lazima ziendane na jora ulizoziagiza zikipishana hiyo 18% shida faini watataka Shirika Hilo na wewe mjiekeze kwanini mamilioni hayajaweka (fundi, Uzi, umeme nk)
hapo ndipo panachosha hawataki ubinadamu
Sana,kwa namna ilivyo hii,watu lazima wakwepe kwa nguvu zote hata kwa kutoa mlungulaNachofkir Rais aitishe tena mkutano na wafanya biashara pa1 na TRA kujadili haya maswala kwa kina, vinginevyo huu unyonyaji utaendelea kuchochea rushwa, kudidimiza biashara nying, hvyo kuathiri uchumi ngazi ya mtu na taifa kwa ujumla
Muuza Duka kanunua mzigo kutoka kwa mfanyabiashara mkubwa e.g Unga shilingi 100,000
Muuza duka anauleta dukani kwake na kuamua kuuza shilingi 120,000
20,000 ndio Gross profit.
EFD inamtaka atoe risiti ya shilingi 120,000 ambapo ndani yake kuna mtaji na faida.
Kodi 18% ya 120,000 ni 21,6000
Kodi ni kubwa kuliko faida ulioipanga ya shilingi 20,000
Wafanyabiashara wengi hawajaelimishwa kuhusiana na huo mkanganyiko hivo wengi wameishia kukwepa kutoa risiti
Naomba ufafanuzi wa hapo juuElimu inahitajika sana kuwaelewesha wafanyabiara ndogo ndogo kuhusu kodi hii ya VAT ya 18%.
1. Kodi anayelipa ni mlaji wa mwisho, hivo kutokuchukua risiti Manake umemwachia muuzaji hii Pesa. Muuzaji haumii kwa namna yoyote kwenye hii kodi
2. Kuna kitu kinaitwa VAT refund yani tofauti ya input na output tax, Manake ni kodi ya VAT muuzaji aliyolipa akinunua mzigo vs ile aliyopokea wakati wa kuuza bidhaa. Tuite ya kwanza A na ya Pili B.
A ikiwa kubwa kuliko B ataclaim icho kilichozidi TRA
3. Machine za EFD zinapatikana database inayoweka record ya mauzo kwa kipindi husika .
Wafanyabiashara wengi wanakwwpa kutumia ili mauzo yote yasiwe captured kwenye mfumo na mwisho wa siku TRA wa kadirie kuliko kupata mapato halisi ambayo ni Mara nyingi huwa ni mengi.
Nikipata wasaaa ntafafanua zaidi badae
Aisee kwanza VAT Ni somo pana Ile kishenzi.Sasa mimi nimekwenda supermarket kupeleka korosho zangu kwa muhindi anadai anataka risiti za EFD machine, sasa mimi nanunua korosho kutoka kwa mkulima kule shambani kusini ambapo haelewi hata nini maana ya hiyo kitu ina maana nikija kuuza korosho zangu supermarket nakuwa natoa risiti za kuuza tu sina risiti za kununulia. Je hiyo ouput na iput itakokotolewa vipi hapo? Si nakuwa inakula kwangu tu?
#Keynessian
Faida ya kutumia masine za EFD ni kuwa serkali inapata haki yake, na wewe mnunuzi unaponunua kitu ile kodi ya sales tax ambayo unalipa wewe mnunuzi unapelekwa kunakohusika...serkalini. Ukinunua mathalani sahani sh 500 na ukalipa sales tax sh 50, basi hiyo 50 si mali ya muuzaji bali serkali. Yeye anakusanya kwa nuiaba ya serkali. Lakini wafanyabiashara wanachukuwa faida yao na ile kodi ya sales tax ya serkali.Wakuu,
Kumekuwa na mvutano sana kati Serikali kwa maana ya TRA na wafanyabiashara ambapo wafanyabiashara wengi hawapendi kutoa risiti hizi za mashine(EFD), na kama wakitoa basi itabidi uchague kupewa yenye kodi(ambapo bidhaa utauziwa bei juu au upewe risiti ya kutembelea tu(Utauziwa bidhaa bei pungufu).
Sasa naomba wazoefu wa biashara waniambie ni zipi hasara za kutumia hizi mashine za EFD(Kwa maana ya kutoa risiti kipitia hizi mashine?
Na pia zipi ni Faida za kutumia mashine hizi kwa mfanyabiashara?
Karibuni .