Zipi ni Hasara za kutumia mashine za EFD kwa mfanyabiashara?

Kwa maelezo haya ni wazi mfanyabiashara wa Kati akitoa risiti kwa kila BIDHAA anayouza atafirisika
 
Asante,naomba ukipata wasaa urudi kuelezea hasa kwenye VAT refund tujue inafanyaje kazi na je inatekelezwa na TRA?

Je Inawezekana wafanyabiashara wanaogopa bure tu?
 
Hapo wewe ndio utaumia
 

ungekuwa muhindi asingedai
 
Na hasara ya kutumia mashine ya EFD kwa mfanyabiashara ni ipi?au hakuna hasara yoyote?
 

Wafanyabiashara wadogo hawana VAT acha kudanganya
 
Maelezo ni mazuri japo ni marefu mno kwa mfanyabishara wa kawaida kuelewa Ila naomba tujadili hapo mwishoni ulipomalizia kwamba;

Mfanyabishara anayeuza 11,000,000 kwa mwaka anatakiwa apewe mashine ya EFD,yeye huyu akipewa mashine na akatoa risiti kwa kila bidhaa kama inavyotakiwa Je atapata faida ilihali hayupo VAT registered?
 


Samahani niruhusu nikusahihishe

18% ni 21,600/= siyo 216,000/=
 
Uzuri yale mamashine ni kuharibika, likiharibika unalirudisha kisha unapumzika, wakilileta linaharibika tena
Umejiuliza zile route za kwenda na kurudi TRA kugongewa muhuri wa kuuza bidhaa na receipts za kitabu zinavyokupotezea muda wako?
 
Uzuri yale mamashine ni kuharibika, likiharibika unalirudisha kisha unapumzika, wakilileta linaharibika tena
Ingekuwa mie ningekuwa naipigisha shoti tu😅 izingue basi kisha naendelea na biashara kama kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…