Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Uliuza mechi kizembe sana.Ww acha tu yn 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliuza mechi kizembe sana.Ww acha tu yn 😂
Nlkuwa kwenye situation ya no return, yn unaona hapa Siwez kupata ndom afu nyama h hapa imekuja ynyw 😂 ukileta mambo mengi na nyama nayo inaondokaUliuza mechi kizembe sana.
Kwa mimi bora nyama iondoke tu kuliko kuuza mechi ndio maana napenda kutembea nazo.Nlkuwa kwenye situation ya no return, yn unaona hapa Siwez kupata ndom afu nyama h hapa imekuja ynyw 😂 ukileta mambo mengi na nyama nayo inaondoka
Ukitembea nazo c zinapigwa sana na jua, au unasukuma ndinga?Kwa mimi bora nyama iondoke tu kuliko kuuza mechi ndio maana napenda kutembea nazo.
Hakuna cha ndinga naweka kwenye wallet hata 1, afya ni muhimu sana kuna muda vishawishi vinapiga knock out vinanizidi.Ukitembea nazo c zinapigwa sana na jua, au unasukuma ndinga?
Dadeki we msenge umemaliza kila kitu kwa maneno matatu tu🤣🤣🤣🤣Akikojoa niite mbwa
Dah hy naona n risk mwanangu bora ukiona dalili za nyama ndio ukanunue chapHakuna cha ndinga naweka kwenye wallet hata 1, afya ni muhimu sana kuna muda vishawishi vinapiga knock out vinanizidi.
KwishineiDadeki we msenge umemaliza kila kitu kwa maneno matatu tu🤣🤣🤣🤣
Kuna kimasikhara utegemei wala huoni hata dalili moja ila dakika za jioooni sana unachana goli.Dah hy naona n risk mwanangu bora ukiona dalili za nyama ndio ukanunue chap
Dah aisee hapo kipengele, ndo mana mm nikapigwa na kisonono chap mana demu kaingia getto kwa surprise hata sikuwa na ratiba nae 😂Kuna kimasikhara utegemei wala huoni hata dalili moja ila dakika za jioooni sana unachana goli.
Kwishaaaa🤣Kwishinei
View attachment 3030985
Sasa kumbe ni ghetto, ishi nazo humo ndani zisikosekane kwa faida ya afya yako sio uhuni.Dah aisee hapo kipengele, ndo mana mm nikapigwa na kisonono chap mana demu kaingia getto kwa surprise hata sikuwa na ratiba nae 😂
Ila ngoja ntaona jinsi ya kufanya kama ww ila dah naona kuna ugumu Mm kutembea na ndom aisee 😂
Sasa siku hy sikuwa nazo, ila sasa naimagine kuanza kutembea nazo kila napoenda 😂Sasa kumbe ni ghetto, ishi nazo humo ndani zisikosekane kwa faida ya afya yako sio uhuni.
Sasa siku akija boss lady akiziona c Itakuwa Kivumbi, mana demu akishajijua yeye ndio main hua anajimilikisha madaraka yote.Sasa kumbe ni ghetto, ishi nazo humo ndani zisikosekane kwa faida ya afya yako sio uhuni.
unaficha hata kwenye paa 😂Sasa siku akija boss lady akiziona c Itakuwa Kivumbi, mana demu akishajijua yeye ndio main hua anajimilikisha madaraka yote.
Dah umalaya mateso sana 😂unaficha hata kwenye paa 😂
Sio umalaya ni kujijali na kumjali mwenza wako maana tayari ushajua kuchepuka uwezi kuacha.Dah umalaya mateso sana 😂
Nitaona cha kufanya aisee, magonjwa hapana aiseeSio umalaya ni kujijali na kumjali mwenza wako maana tayari ushajua kuchepuka uwezi kuacha.