Stratopause
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 751
- 1,461
Yap si wakanda ya ziwa hao tabia zinaendaendana labda upate wa mjini
kwani wasukuma na wahaya wako ivo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wasukuma na wahaya wako ivo?
duh..sa itakwajeYap si wakanda ya ziwa hao tabia zinaendaendana labda upate wa mjini
Siyo watembeaji kufatuta Marshall nje ya ElimuSijawahi Kutana nao sheikh ila masela kibao nshakutana nao shuleni na kwenye utafutaji
Tattoo la Watanzania wazungumza vitu wa sivyo vijua mbele za watu, Kwanza mabinti wakikurya Hawatoki Nyumbani kwenda kutafuta Maisha Zaid ya kwenda kusoma ndiyo wanna Maisha uko, ni Sawa na Mabinti WA kimasai use me ni Malaya jamii itakushangaa Kwanzaa Hizi jamii mbili za kimasai na Kimura Kuwakuta dar wakifanya kazi za hovyo ni ngumu Sana, Wazaz WA Kikurya kumruhusu binti yake kwenda Dar kufanya kazi za ndani au Barmaid au Mamalishe iko kitu hakuna. Kule mtoto wa kike ni Mali anaolewa na Ng'ombe nyingi.Kwahili umewasingizia , asilimia kubwa Binti wa kikurya kwenye ndoa ni mwaminifu sana na kuhusu ushirikina pia sio kweli , nimekaa na jamii hii Nina experience nayo .
Wekweli unashangaza Kuna wazazi wakikurya wasioishi pamoja? We ukishaoa tu bintiMajority wana bipolar,hasira,ubabe, verbal abuse,ngumi mkononi,watata,sio waelewa,utapata tabu sana kama we sio kabila lao.
Ukitaka kuoa chunguza asili yake tena kwa kituo hasa wazazi wake wapoje kama hawaishi pamoja usiingie hapo
mkuu si ukanda uouo unategemea hata mambo yao
Kwanini yasipishane Kila kabila lina Tamaduni zake unatakiwa utembee ujue na uishi na jamii tofauti, Kwani Wamasai na Wairaq Kwani Mira zao zinafanana ?mkuu si ukanda uouo unategemea hata mambo yao hayatapishana sana
Wababe wawili wanaishije sasa kwenye nyumbaWekweli unashangaza Kuna wazazi wakikurya wasioishi pamoja? We ukishaoa tu binti
Hapana tabia tofauti Kanda ya ziwa wanao keketa wanawake ni wakurya peke yao, Wasukuma wao hawataihili Wanaume, wakurya wao hawa chanji chale mwilini na jamii yao hakuna wagangaYap si wakanda ya ziwa hao tabia zinaendaendana labda upate wa mjini
Wa Zamani labdaSiyo watembeaji kufatuta Marshall nje ya Elimu
Tattoo la Watanzania wazungumza vitu wa sivyo vijua mbele za watu, Kwanza mabinti wakikurya Hawatoki Nyumbani kwenda kutafuta Maisha Zaid ya kwenda kusoma ndiyo wanna Maisha uko, ni Sawa na Mabinti WA kimasai use me ni Malaya jamii itakushangaa Kwanzaa Hizi jamii mbili za kimasai na Kimura Kuwakuta dar wakifanya kazi za hovyo ni ngumu Sana, Wazaz WA Kikurya kumruhusu binti yake kwenda Dar kufanya kazi za ndani au Barmaid au Mamalishe iko kitu hakuna. Kule mtoto wa kike ni Mali anaolewa na Ng'ombe nyingi.
Labda sukuma ntuzu.kwani wasukuma na wahaya wako ivo?
Niliwahi date binti wa kikurya ni wababe kama wanaume!Umemaliza Mkuu, watu bado wako enzi za mawe. Siye Wakurya wengi kwanza tumeshachanganya. Halafu watu wanajiongelea kuhusu Wakurya kwa kusikia umbea, hata hawawajui. Naunga mkono jibu lako 100%
Tofauti ya tohara ya mmasai na mkurya ni ipi?Maana wamasai wanatahiriwa bila ganziwana heshima sana kwa wanaume hasa wa kwao. pia si wa kujiweka chini sana. ukiliamsha analiamsha pia
kabila zingine ni second class kwani wakurya tunaamini kabila zingine hawatahiriwi. hivo kunakuwa ni dharau kiasi kwa kaBILA zingine
hakuoni kama mwanaume kamili. 😆 😆 😆
unaipata wapi iyo ganzi uko maporini? kiasili ao wote hawatumii ganzi labda wawe hawa wa mijiniTofauti ya tohara ya mmasai na mkurya ni ipi?Maana wamasai wanatahiriwa bila ganzi
duh sa uliwezaje mkuuNiliwahi date binti wa kikurya ni wababe kama wanaume!
mmh[emoji848]mbona yule rip alidai kukojoza mdada wa ukouko?Akikojoa niite mbwa
Labla n mkurya mwenzie au amekulia hukommh[emoji848]mbona yule rip alidai kukojoza mdada wa ukouko?
au inategemea na ntu na ntu?
mkuu unamaanisha uyu jamaa aliyekuwa mnenaji maarufu kutoka ile radio inafanana jina na vitu vinavyoelea uko angani aliye rip miezi michache iliyopita anaweza kuwa wa uko naye?Labla n mkurya mwenzie au amekulia huko
Thread ifungwe.Wababe kama ni nice guy abort misheni.
Inasemekana hawana antena za azam tv.
Mm cmjui huyo unayemsemeamkuu unamaanisha uyu jamaa aliyekuwa mnenaji maarufu kutoka ile radio inafanana jina na vitu vinavyoelea uko angani aliye rip miezi michache iliyopita anaweza kuwa wa uko naye?
wengi wanafanyia mapenzi kama kitu kisicho na umuhimu. wanawake wao watata sana hasa akiwa aliyesoma ndio umbwa kabisa. hao wanawezana wenyewe na makabila ya wanaume wababe kama sisi wameru.Hapana aisee kumkojoza mkurya n kipaji na nguvu 😂
sio kesi mkuu.Mm cmjui huyo unayemsemea