Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Fanya hivyo maana kwa hali ilivyo kwa sasa ni hatari, kwenye ke 10, saba wana UTI au gono.Nitaona cha kufanya aisee, magonjwa hapana aisee
7 kati ya 10 kubwa sana watatuua πFanya hivyo maana kwa hali ilivyo kwa sasa ni hatari, kwenye ke 10, saba wana UTI au gono.
azuma inapata shida sana π π7 kati ya 10 kubwa sana watatuua π
Zipandishwe bei ili watu wajitambue πazuma inapata shida sana π π
Unataka vijana wazidi kukojoa nyembe πZipandishwe bei ili watu wajitambue π
Oya Weeeeee unakojoa huku unapiga kelele πUnataka vijana wazidi kukojoa nyembe π
π sema utamu umekaa pabaya sana.Oya Weeeeee unakojoa huku unapiga kelele π
Tujilinde tuu aisee, mambo ya kuumia maisha yako yote kisa raha ya lisaa limoja sio poa kabisa aiseeπ sema utamu umekaa pabaya sana.
Ni kuchukua tahadhari kujlinda.Tujilinde tuu aisee, mambo ya kuumia maisha yako yote kisa raha ya lisaa limoja sio poa kabisa aisee
Kabisa mkuuNi kuchukua tahadhari kujlinda.
[emoji23][emoji23][emoji23]Oya Weeeeee unakojoa huku unapiga kelele [emoji23]
apo mwisho ongezea neno SUGUFanya hivyo maana kwa hali ilivyo kwa sasa ni hatari, kwenye ke 10, saba wana UTI au gono.
mmh we ni wawapi mkuu? isijekuwa ni wa uko unawapigia debe[emoji1]Oa mkuu wapo vizuri kimaadili hasa ukibahatika kumpata alielelewa vyema na anaejitambua. Kwa experience yangu ya mahusiano so far sijawahi kuwa na kipindi kizuri na mahusiano bora kama kipindi nipo na mkurya. Amekamilika ni mtu na nusu.
Hata kabila nyingine huwaona kama wavuta bangi na wagomvi. Kichekesho zaidi ni kumwona Waitara akilia hadharani bila kupigwa na mtu.wana heshima sana kwa wanaume hasa wa kwao. pia si wa kujiweka chini sana. ukiliamsha analiamsha pia
kabila zingine ni second class kwani wakurya tunaamini kabila zingine hawatahiriwi. hivo kunakuwa ni dharau kiasi kwa kaBILA zingine
hakuoni kama mwanaume kamili. π π π
unamaanisha mkuu au??Wapole sana kama kinyonga kwenye amani...
duh[emoji23]Kwishinei
View attachment 3030985
ni wanajali sana ndoaHata kabila nyingine huwaona kama wavuta bangi na wagomvi. Kichekesho zaidi ni kumwona Waitara akilia hadharani bila kupigwa na mtu.
kwani wasukuma na wahaya wako ivo?Ni wababe akikuletea ubishi zaba kofi inshort wakanda ya ziwa wote wa kike ni wababe tu