Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
-
- #161
duuh hao ni wamba kabisawengi wanafanyia mapenzi kama kitu kisicho na umuhimu. wanawake wao watata sana hasa akiwa aliyesoma ndio umbwa kabisa. hao wanawezana wenyewe na makabila ya wanaume wababe kama sisi wameru.
Sio kweli mkuu. Sifa kubwa ya wakurya na wajaluo ni utemi. Sijui sana kuhusu ushirikina lakini kuhusu kuchapiwa Kwa uzoefu wangu iyo tabia sana sana wanayo wairaqwi, wazaramo, warangi, wahaya na wangoni kidogo.Wana katabia kakutoa mzigo kwa kila mwanaume hata kama wapo ndani ya ndoa. Pia ushirikina
Uoa kisha urudi hapa kunipa mrejesho
Mabaamedi wa kimasai saiv wapo mjini kibao.Siyo watembeaji kufatuta Marshall nje ya Elimu
Tattoo la Watanzania wazungumza vitu wa sivyo vijua mbele za watu, Kwanza mabinti wakikurya Hawatoki Nyumbani kwenda kutafuta Maisha Zaid ya kwenda kusoma ndiyo wanna Maisha uko, ni Sawa na Mabinti WA kimasai use me ni Malaya jamii itakushangaa Kwanzaa Hizi jamii mbili za kimasai na Kimura Kuwakuta dar wakifanya kazi za hovyo ni ngumu Sana, Wazaz WA Kikurya kumruhusu binti yake kwenda Dar kufanya kazi za ndani au Barmaid au Mamalishe iko kitu hakuna. Kule mtoto wa kike ni Mali anaolewa na Ng'ombe nyingi.
Hapana mimi sio wa huko ila acha niwape maua yao mwenzao aliwawakilisha vyema kabisa.mmh we ni wawapi mkuu? isijekuwa ni wa uko unawapigia debe[emoji1]
😂 hatariapo mwisho ongezea neno SUGU
Mfano angalia wewe ulivyo mzuri, 🤣🤣🤣🤣 ukilinganisha na story za watu huwezi amini kuna warembo hukoUmemaliza Mkuu, watu bado wako enzi za mawe. Siye Wakurya wengi kwanza tumeshachanganya. Halafu watu wanajiongelea kuhusu Wakurya kwa kusikia umbea, hata hawawajui. Naunga mkono jibu lako 100%
na nusu[emoji23] hatari
kwenye general kuna exceptions ila wengi wao unakuta wako ivo. usichukie ukweli mkuu utakuweka huru.Kwa ulimwengu wa sasa kabila haliusiani na usahihi au tabia za mtu
Kuhusu antena 📶 imekaaje?mbona sisi wenyewe huku tarime tunawakojoza wake zetu mkuu
ishu imekaa kitaalamu sana hii ngoja mashuhuda wajeKuhusu antena [emoji687] imekaaje?
duh hii ndo naiskia hapa.Mabaamedi wa kimasai saiv wapo mjini kibao.
sawaBaadhi yao ni wakorofi, sio wote.
hayaHapana mimi sio wa huko ila acha niwape maua yao mwenzao aliwawakilisha vyema kabisa.
uzuri wa sura....Kuna mmoja nilikuwa namnyatia pale UDSM yule mtoto alikuwa mzuri balaa! Huwezi kuamini kama ni Mkurya mtoto mweusi, mrefu halafu sura bomba kinoma. Alivyoniambia Mkurya sikuamini kabisa. All in all, naishi eneo ambalo Wakurya ni majirani zangu kwa miaka mingi. Wanawake wao wana heshima, wavumilivu na wenye subira kubwa.
ngoja wajeKuhusu antena [emoji687] imekaaje?
duu mlianza kuwanga mapemaRUTO MUST GO
na bado mjomba😂😀duu mlianza kuwanga mapema