Zipi ni sifa za mabinti wa kikurya?

Zipi ni sifa za mabinti wa kikurya?

wengi wanafanyia mapenzi kama kitu kisicho na umuhimu. wanawake wao watata sana hasa akiwa aliyesoma ndio umbwa kabisa. hao wanawezana wenyewe na makabila ya wanaume wababe kama sisi wameru.
duuh hao ni wamba kabisa
 
Wana katabia kakutoa mzigo kwa kila mwanaume hata kama wapo ndani ya ndoa. Pia ushirikina

Uoa kisha urudi hapa kunipa mrejesho
Sio kweli mkuu. Sifa kubwa ya wakurya na wajaluo ni utemi. Sijui sana kuhusu ushirikina lakini kuhusu kuchapiwa Kwa uzoefu wangu iyo tabia sana sana wanayo wairaqwi, wazaramo, warangi, wahaya na wangoni kidogo.
 
Siyo watembeaji kufatuta Marshall nje ya Elimu

Tattoo la Watanzania wazungumza vitu wa sivyo vijua mbele za watu, Kwanza mabinti wakikurya Hawatoki Nyumbani kwenda kutafuta Maisha Zaid ya kwenda kusoma ndiyo wanna Maisha uko, ni Sawa na Mabinti WA kimasai use me ni Malaya jamii itakushangaa Kwanzaa Hizi jamii mbili za kimasai na Kimura Kuwakuta dar wakifanya kazi za hovyo ni ngumu Sana, Wazaz WA Kikurya kumruhusu binti yake kwenda Dar kufanya kazi za ndani au Barmaid au Mamalishe iko kitu hakuna. Kule mtoto wa kike ni Mali anaolewa na Ng'ombe nyingi.
Mabaamedi wa kimasai saiv wapo mjini kibao.
 
Umemaliza Mkuu, watu bado wako enzi za mawe. Siye Wakurya wengi kwanza tumeshachanganya. Halafu watu wanajiongelea kuhusu Wakurya kwa kusikia umbea, hata hawawajui. Naunga mkono jibu lako 100%
Mfano angalia wewe ulivyo mzuri, 🤣🤣🤣🤣 ukilinganisha na story za watu huwezi amini kuna warembo huko
 
Kuna mmoja nilikuwa namnyatia pale UDSM yule mtoto alikuwa mzuri balaa! Huwezi kuamini kama ni Mkurya mtoto mweusi, mrefu halafu sura bomba kinoma. Alivyoniambia Mkurya sikuamini kabisa. All in all, naishi eneo ambalo Wakurya ni majirani zangu kwa miaka mingi. Wanawake wao wana heshima, wavumilivu na wenye subira kubwa.
 
Kuna mmoja nilikuwa namnyatia pale UDSM yule mtoto alikuwa mzuri balaa! Huwezi kuamini kama ni Mkurya mtoto mweusi, mrefu halafu sura bomba kinoma. Alivyoniambia Mkurya sikuamini kabisa. All in all, naishi eneo ambalo Wakurya ni majirani zangu kwa miaka mingi. Wanawake wao wana heshima, wavumilivu na wenye subira kubwa.
uzuri wa sura....
 
Back
Top Bottom