yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
Wanapenda shoo , yaani hawaridhiki ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andaa panga lako linoe kabisaWakuu nipeni abc za hawa mabinti wa kikurya nijipime kama nawamudu ama la
Asili ya mtu ina nguvu thus walioana kwa ukanda mmoja au kabila moja kwa sababu ya mizimu kuendena.Kwa ulimwengu wa sasa kabila haliusiani na usahihi au tabia za mtu
Makabila yote yanatoa mzigo njeWana katabia kakutoa mzigo kwa kila mwanaume hata kama wapo ndani ya ndoa. Pia ushirikina
Uoa kisha urudi hapa kunipa mrejesho
Wanataka mwanaume mgumu mbabe zaidi yakeWagumu balaaa, ila ukimpatia hakuachi, na huwa wanatetemeka wakifika kileleni.
Wababe, huwa wanaume wa mikoa mingine wanawaona laini.
Huyo amesoma na ameelimika hizo mambo hanqTumuulize Esther bulaya.
Wajita ni wachafu kiroho na kimwili piasure ata mm nakumbuka umu walisemwa wale wajita ndo wana mambo ayo
Mgumu anaridhikje sasaWanapenda shoo , yaani hawaridhiki ..
Ni jamaa yako au wewe mwenyewe?Kuna jamaa yangu Mtu wa Kanyi nae anataka kumuoa Mdada wa kikurya Thus year, ila huyo Dada hajakukia Tarime...kaka zake wawili wanaelewana tu vizuri na jamaa ila huyo binti ndio Hasira za hapa na hapa dakika 0 anazira 🤣
Mkurya yule wa tarimeMke wa Tundu ni Mkerewe, siyo Mkurya.
Mbona huwa anasema yeye mwenyewe kwamba anaenda Tarime Ukweni?Mke wa Tundu ni Mkerewe, siyo Mkurya.
Kama hujui kitu Bora unyamaze kuliko kuongea utumbo (ujinga) huu wa story za kijiweni kwenu huko.1:uchafu kwao ni kawaida na hii ni kimwili na kiroho
2:wengi wao "kipa katoka" hivyo kama unataka kuoa usikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia mwambie akuonjeshe na mkifika huko kama ni usiku usikubali kauli hii "baby zima taa" hakikisha unamkagua kwa kumchanua au kupima oil
3:ubabe pamoja na lugha chafu hakiwii kukuita "mrisha"