JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
- #21
Hapana siuzi plug
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana siuzi plug
Toyota Townace van DX KR42
Asante sana.Funga Denso W16EXR-U11
engine gani?Suzuki swift 1300.
Kwenye gari gani?Engine 2AZ - FE
Kwenye gari gani?
Rav4
Denso SK20R11
Ndiyo mkuuInakosa nguvu mlimani?
Ndiyo mkuu
Kwa nini haifungwi kwenye IST wakati engine ni hio hio?SO aina ya engine sio primary factor kutakuwa na factor nyingine.Nafikiri kama mwanasayansi na sio kama fundi gari.Rumion ya Cc 1490 inafunga Denso FK16HR11.
Pamoja na kwamba ni 1nz fe lakini plug hiyo haifungwi kwenye IST yenye engine sawa na hiyo ya Rumion.
Engine ya 3s natumia aina gani kiongoziView attachment 1785306
Zipo spark plug za aina nyingi sana. Yapo mambo mengi sana yanayoweza kutofautisha spark plug za gari na gari jingine.
Mambo hayo ni
1.Material yaliyotengeneza hizo plug (iridium copper n.k)
2. Urefu wa thread (nyingine zinakuwa na thread ndefu nyingine fupi)
3. Gap (nyingi zina gap la 1.1mm lakini linaweza kuongezeka au kupungua na hawashauri kuliadjust)
4. Idadi ya pini ( pin1, pin 2, pin 3 n.k.
5. Material ya tip (platnum tipped, nickel tipped n.k.)
6. Ncha ya tip (Nyingine ni sindano na nyingine zipo kawaida)
Kwa kifupi hakuna plug ambayo ni best kwa kila gari. Ndio maana, kila engine ina plug zake ambazo ni OEM ameshauri zifungwe.
Kwa baadhi ya engine ukifunga plug ambazo si sahihi matokeo yake inakuwa ni sawa tu na gari ambayo plug zake zimechoka.
Plug zilizochoka zinaweza kuwa na dalili hizi.
1. Kutetemeka engine
2. Gari kuwaka kwa shida.
3. Gari kuzima yenyewe muda mwingine.
4. Matumizi makubwa ya mafuta.
5. Gari kuchelewa kuchanganya. (Poor acceleration).
6. Pia taa ya check engine inaweza kuwaka na kutrigger code namba p0171 system is too lean. Japo hii code inaweza kuletwa na mambo mengi.
Gari yako ina engine gani? Comment model code ya gari lako nikuambie plug sahihi za kufunga.
*******######**********
1. Pia kama unahitaji Diagnosis na marekebisho kwa gari lako karibu Magomeni Mwembechai Dar.
SIMU: 0621 221 606
WHATSAPP: +255 621 221 606
View attachment 1785305
Yaani unamiliki benz halafu unakuwa mbishimbishi namna hiyo, mgumu kutoa maelezo sahihi, mimi nilidhani mtu akimiliki benz anakuwa smartmercedes
Sidhani kama watu huwa wanazingatia hili binafsi nilikuwa sijui,mimi nauza spare but kuna hii iridium plug SK20R11 ni ya pin 1 wengi sana wanaipiga mande,yupo mmoja alitaka kuitia kwenye Corolla 5A-FE engine.Rumion ya Cc 1490 inafunga Denso FK16HR11.
Pamoja na kwamba ni 1nz fe lakini plug hiyo haifungwi kwenye IST yenye engine sawa na hiyo ya Rumion.