Zipi Sababu baada ya kuweka pamoja kwa friji chupa 3 za maji kampuni uhai, hill na kilimanjaro, nimekuta chupa 1 tu ndiyo imeganda kabisa?

Zipi Sababu baada ya kuweka pamoja kwa friji chupa 3 za maji kampuni uhai, hill na kilimanjaro, nimekuta chupa 1 tu ndiyo imeganda kabisa?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?


Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai

Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda

Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia
 
Wadau hamjamboni nyote?


Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai

Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda

Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia
Muuza vinywaji mzoefu hapa, sababu zinaweza kuwa kadhaa lakini kubwa ni aina ya chupa. Vimiminika yenye chupa nyepesi mara nyingi huwahi kuganda na chupa ngumu hufuatia, hapa ongezea soda kampuni ya Coca(Plastic bottle) zinawahi kuganda kuliko pepsi.

Mbili ni viambata, japo yote ni maji lakini hivyo vitu wanaweka humo hutofautisha hapo ongezea na ujazo, vyenye ujazo mdogo vinawahi kuliko vyenye ujazo mkubwa. Hapa kuna maji ya Mo(Maisha) pamoja na ugumu wa chupa, hata ukiyatikisa yakishakuwa baridi sana yanaganda kama soda zinapotikiswa.

Mwisho ni sehemu unapoweka ndani ya friji/freezer. Japo lote ni moja, kitu kinachokaa ubavuni huwa kinawahi kuganda, kuna mafreezer baridi inaanzia chini mengine juu etc. Pia pale pipe inapoanzia au karibu yake ikitoka kwenye compressor ya freezer ndio patapowahi kugandisha.
 
Wadau hamjamboni nyote?


Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai

Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda

Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia
Umekuta chupa moja imeganda au umekuta chupa zote tatu za kampuni moja zimeganda???
 
Wadau hamjamboni nyote?


Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai

Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda

Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia
Purity ya maji.

Pure water itaganda at 0°C

Kama friji yako inaonesha joto la hio chemba au tumia kipimajoto uone
 
  • Kicheko
Reactions: apk
Wadau hamjamboni nyote?


Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai

Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda

Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia
imetokea tu au ulikuwa ni utafiti ?
 
Kwwnye maji hasa ya chupa kuna kitu kinaitwa Ph je hiyo ph ya uhai inafanana na brand nyengine? wataalam waje kuconnect dots
 
Wadau hamjamboni nyote?


Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai

Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda

Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia
Na chupa zote zina ujazo sawa?
KAMA zina ujaxo SAWA, UWEZEKANO MKUBWA NI kwamba Chupa zilizotumika kuhifadhi MAJI, zinatofautiana unene wa kuta zake, assuming plastic material iliyotumika kuzitengeneza NI ILE ile
 
Back
Top Bottom