Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai
Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda
Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia
Leo nimeweka kwenye friji yangu chupa tatu za maji kutoka kampuni tatu tofauti za Hill water, Kilimanjaro na Uhai
Baada ya muda nimefungua tena friji na kukuta maji ya kampuni moja ya Uhai ndiyo yameganda na kuwa barafu kabisa huku mengineyo bado kuganda
Mazingira yapo sawa ikiwemo temperature kwa chupa zote 3 kwanini chupa 1 igande haraka kuliko nyingine
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya kemia