Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Wanamichezo wenzangu wana-jf, Nimejiuliza hili swali ila bado sijapata jibu kwamba nini kinapelekea Mazembe kupitia wanayopitia siku hizi?
Nimekosa majibu hebu nijibieni, maana wamenishangaza sana?!
Nimekosa majibu hebu nijibieni, maana wamenishangaza sana?!