Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
ligi ya kwao imesimama kwa muda unafikia miezi 4 sasa,timu hazichezi na si mazembe tu karibu zote zimefanya vbyWanamichezo wenzangu wana-jf, Nimejiuliza hili swali ila bado sijapata jibu kwamba nini kinapelekea Mazembe kupitia wanayopitia siku hizi?!
Nimekosa majibu hebu nijibieni, maana wamenishangaza sana?!
View attachment 2574025View attachment 2574025View attachment 2574027View attachment 2574028
Kwakua watanzania mnaifuatilia mazembe tu,basi mnaiona hy tu