Zipi sababu za Club ya TP Mazembe kuporomoka kimafanikio?

Zipi sababu za Club ya TP Mazembe kuporomoka kimafanikio?

Maswali hayo mnayojiuliza kwa TP Mazembe mjiulize pia kwa Yanga kwanini imeimarika kwa Kasi ndani na nje ya Tanzania. Pamoja na kushuka kwa TP Mazembe mpaka sasa kuna watu hawaamini ubora wa Yanga kwa sasa wakidhani Yanga itakuwa haina jipya kwa Mazembe na timu nyingine ktk kundi lake eti tu kwa kuangalia historia ya Yanga kwenye michuano ya kimataifa. Mtajiuliza Sana maswali kama hamtoamini ktk ubora wa Yanga
Utopolo bwana,tunajadili to mazembe unaongelea yanga
 
Utopolo bwana,tunajadili to mazembe unaongelea yanga
Kuna watu humu wamejitoa ufahamu mpaka unashangaa. Lakini amini hiyo ndio jamii ya kitanzania inayotoa wabunge, mawaziri na viongozi. Hakuna jamii nyingine
 
FAKE LIFE.
Everyone in Africa wants to live in a prosperous life that's why faking, people pretending while they know they are acting to make their stomach full. Players coaches and even team owner doing the same, they doesn't care about what others feel.
 
Back
Top Bottom