Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Kwenye mpira wa miguu hakuna hela haswa Kwa timu za AfrikaMwekezaji ameacha kuwekeza
tatizo siasa na si uwekezaji, ligi drc hajachezwa kwa miezi 4,Tatizo huenda litakuwa kwa mwekezaji,
Mazembe wana project ya ujenzi wa kiwanja, hostel na training facilities nguvu wamewekeza huko timu ipo kwenye mda wa mpito plus mambo ya kisiasa yaliyo mpata Katumbi ila ni swala la mda tu watarudi kwenye ubora waoJe ndio sababu pekee kweli?!
Hakuna timu iliyoimarika halafu inashiriki europa. Nadhani umeelewa.Maswali hayo mnayojiuliza kwa TP Mazembe mjiulize pia kwa Yanga kwanini imeimarika kwa Kasi ndani na nje ya Tanzania. Pamoja na kushuka kwa TP Mazembe mpaka sasa kuna watu hawaamini ubora wa Yanga kwa sasa wakidhani Yanga itakuwa haina jipya kwa Mazembe na timu nyingine ktk kundi lake eti tu kwa kuangalia historia ya Yanga kwenye michuano ya kimataifa. Mtajiuliza Sana maswali kama hamtoamini ktk ubora wa Yanga
Huna akili hata robo mwaka jana mmeshikwa uchawi nchi za watu mlikua kombe gani?Hakuna timu iliyoimarika halafu inashiriki europa. Nadhani umeelewa.
Kwani uliambiwa simba ilikuwa imeimarika? Hakika wewe ni kilazaHuna akili hata robo mwaka jana mmeshikwa uchawi nchi za watu mlikua kombe gani?
Huna hoja wee kolo kaa chiniHakuna timu iliyoimarika halafu inashiriki europa. Nadhani umeelewa.
hilo la yanga kuimalika wanaelewa watu wa mpira tu,na sio mbumbumbuKipindi anawapiga Simba nyumbani kwenye siku yao ilikua Mazembe ipi?
Yanga imeimarika sn acheni porojo[emoji23]