Zipi sababu za mwanaume kupigwa vibuti

Zipi sababu za mwanaume kupigwa vibuti

hahahahaha sasa si lazima ujifanye na wewe matawi ili umege na ukisha kagua unachapa mwendo fasta

Wakati mwingine unachapa mwendo kwa aibu, si ajabu ilikuwa mpaka kupepewa. Utarudi tena?
 
Jenga mazingira ya kupendwa kabla hujatongoza. Ukija kutongoza hutapata shida sana ya kujielezea maana kwa mwenye akili tayari atakuwa anajua what next.
 
Thank you all for your contributions. Real you helped me with all your comments. Now najisikia kupata amani.
Lizzy, Fidel80, Michelle, LD, DaMie, bacha, maarifa, birungi, mjanjamimi, uporoto01, tracy, Ama, Maria Roza, tabutupu, kisukari, Ivuga, livingstone, Mzuanda, Abdulharim, EMT, Desidii, Didna37, coscated, Wezere, hashycool, Pretty, Mchwechwele, MUREFU, TQIO, Msandawe halisi, Muacici, Uncle jei jei, ANKOJEI, TATIANA, Speaker, Mods and All of you even hose I didn't mention GOD BLESS YOU
 
HIVI NUMBER YA JK NIMEPOTEZA VILEE?i hate these guys kwakweli..aha
@Elia,.jiamini kama mwanaume,dont protray kua uko deperate kihivyoo,Some women like Men who will keep them guessing..
Be true to yourself and those around you my dia,usimfanye mwanamke akupende for what you have,ndo maana wanaume wengi wanasema wanawake wanapenda hela while wao ndo wameanza mahusiano as spenders!..now days women look at th QUALITY,not QUANTITY, kwa wenye upeo,pesa inatafutwa na kuisha anytime ila co happiness.
plus mengine yaliyosemwa!ubarikiwe

kweli tracy. Mtu anajifanya anamiliki mikampuni mireal estate mazaga zaga kibao. Yaani wenyewe wanajijengea mazingira ya kuchunwa mapemaa.
Kama unampenda mtu na unataka kuishi nae muoneshe hali halisi yako. Unamficha ili iweje sasa.
 
Jenga mazingira ya kupendwa kabla hujatongoza. Ukija kutongoza hutapata shida sana ya kujielezea maana kwa mwenye akili tayari atakuwa anajua what next.

Ahsante sana da Husninyo
 
kweli tracy. Mtu anajifanya anamiliki mikampuni mireal estate mazaga zaga kibao. Yaani wenyewe wanajijengea mazingira ya kuchunwa mapemaa.
Kama unampenda mtu na unataka kuishi nae muoneshe hali halisi yako. Unamficha ili iweje sasa.

Thanks sikioni kinyota cha thanks :eyeroll1:
 
Back
Top Bottom