Zipi tamu na chungu za mimi kumiliki BMW X3

Zipi tamu na chungu za mimi kumiliki BMW X3

Vp wana ndugu,

Nafikiria kununua BMW x3, ningependa mniongoze faida na changamoto za kuwa na gaira aina kama hii.

Na mengine mengi mtakayoona yanafaa kuhusu gari hili tungependa kuyasoma yote na wana JF walioko concerned.

KARIBUNI

Chukua X3, nadhani wengi wanao-comment sio wamiliki, chagua engine kulingana na matumizi yako.
 
Parts sawa, fuel consumption ipi ya ajabu kwenye X3? Labda sema x3 hiyo unamaanisha version ipi na 1l/Km?
Kwa budget anaongelea E83 ambayo inashare platform na E90 si ndio?

Base model kabisa ni N46 i4 ina 2.0L ila ni heavy kuliko E90 kumbuka so kidogo iko na high consumption.
Pili, hakuna mtaalamu wa BMW atakushauri uchukue 4 cylinders na N46 engine, atasema go for N52 ya 6 cylinders ambayo ni cc2500, na cc3000.

Aya niambie iwe na good fuel consumption?

Sema hatukuweka benchmark, hapo tunafananisha na vigari vidogo vidogo vikina premio 1.8 etc.
 
BMW ikizidi 10 years tokea utengenezwe ni majanga. Mfano sahivi uchukue BMW ya 2014 kuja juu atleast itakua na matengenezo machache.

Hawa jamaa wametumia plastic katika sehemu sensitive sana, mfano katika cooling system.
Sasa plastic parts kutokana na joto na muda zinachakaa zinaanza kuvuja etc.

Hapo bado water pump na thermostat wake ambao life time yao ni 120,000 km. Hapo milion jiandae.

Shockups, 600k
ATF, andaa 1M hivi.
Plugs, 50k per pc
Coils, 120k per pc
Oil, 20k/L unataka 7L

Hizi zikizeeka kila kitu kinataka kuchange. Bei dogo kujaza upepo tu.
 
BMW ikizidi 10 years tokea utengenezwe ni majanga. Mfano sahivi uchukue BMW ya 2014 kuja juu atleast itakua na matengenezo machache.

Hawa jamaa wametumia plastic katika sehemu sensitive sana, mfano katika cooling system.
Sasa plastic parts kutokana na joto na muda zinachakaa zinaanza kuvuja etc.

Hapo bado water pump na thermostat wake ambao life time yao ni 120,000 km. Hapo milion jiandae.

Shockups, 600k
ATF, andaa 1M hivi.
Plugs, 50k per pc
Coils, 120k per pc
Oil, 20k/L unataka 7L

Hizi zikizeeka kila kitu kinataka kuchange. Bei dogo kujaza upepo tu.
Darasa tosha kaka, ubarikiwe
 
Kwa budget anaongelea E83 ambayo inashare platform na E90 si ndio?
Base model kabisa ni N46 i4 ina 2.0L ila ni heavy kuliko E90 kumbuka so kidogo iko na high consumption.
Pili, hakuna mtaalamu wa BMW atakushauri uchukue 4 cylinders na N46 engine, atasema go for N52 ya 6 cylinders ambayo ni cc2500, na cc3000.

Aya niambie iwe na good fuel consumption?

Sema hatukuweka benchmark, hapo tunafananisha na vigari vidogo vidogo vikina premio 1.8 etc.
Well said, nimekuelewa.msingi wa hoja yako.
 
Nafikiria tubadili mtazamo kuhusu hiz gari za ulaya
BMW ni gari nzuri Tu unapokuwa barabarani ( unategemea uko na model gani Kwani zinazidiana)
gari ni matunzo jama ukiitunza vizuri kamwe aikusumbui, shida ya gari nyingi za ulaya zinakutaadharisha zikiwa na shida hata kama ni ndogo itawasha taa, sasa hapa ndo swala la usumbufu wa BMW unakuja (Kwa mitazamo ya watu)

hakika BMW ni gari nzuri Sana Aina usumbufu mkubwa ikiwa aijachoka vifaa vyake ni bei ya kawaida japo siwezi kuwa Sawa na Toyota
Ulaji WA mafuta ni wakawaida kulingana na ukubwa WA engine

mafundi wapo wengi Tu wala sio WA kuwatafuta hasa Miki mikuu

Nilichokiona

Mafundi wengi wasio wahaminifu ndo wanafanya watu wazichukie hizi gari hasa kwenye spea mfano pad atakwambia zinauzwa 300000 kumbe sio kweli no 150000
Kuepuka hili kama unamiliki BMW hakikisha unaenda mwenyewe kununua spea

Ushauri
Nunua BMW kama ndo gari pendwa yako wala Aina shida yoyote Mimi nitumie Nina miaka minne nafanya service za kawaida tu







 
Soma hii


Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Sent using Jamii Forums mobile app
Service nzuri za BMW ni wapi mshana..
 
Nafikiria tubadili mtazamo kuhusu hiz gari za ulaya
BMW ni gari nzuri Tu unapokuwa barabarani ( unategemea uko na model gani Kwani zinazidiana)
gari ni matunzo jama ukiitunza vizuri kamwe aikusumbui, shida ya gari nyingi za ulaya zinakutaadharisha zikiwa na shida hata kama ni ndogo itawasha taa, sasa hapa ndo swala la usumbufu wa BMW unakuja (Kwa mitazamo ya watu)

hakika BMW ni gari nzuri Sana Aina usumbufu mkubwa ikiwa aijachoka vifaa vyake ni bei ya kawaida japo siwezi kuwa Sawa na Toyota
Ulaji WA mafuta ni wakawaida kulingana na ukubwa WA engine

mafundi wapo wengi Tu wala sio WA kuwatafuta hasa Miki mikuu

Nilichokiona

Mafundi wengi wasio wahaminifu ndo wanafanya watu wazichukie hizi gari hasa kwenye spea mfano pad atakwambia zinauzwa 300000 kumbe sio kweli no 150000
Kuepuka hili kama unamiliki BMW hakikisha unaenda mwenyewe kununua spea

Ushauri
Nunua BMW kama ndo gari pendwa yako wala Aina shida yoyote Mimi nitumie Nina miaka minne nafanya service za kawaida tu







Serice yakounafanya sehemu gani?
 
Back
Top Bottom