Zipo wapi nguo za ndani (boxers)za ukweli hapa Dar?

Zipo wapi nguo za ndani (boxers)za ukweli hapa Dar?

Mtafiti77

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,877
Reaction score
2,314
Ndugu wajuvi,

Ni wapi ninaweza kupata boxers zenye ubora hapa Dar? Nyingi zimekaa kiajabu, zinapauka mapema.

Sasa, nimeona nijaribu hizi za Woolworth(tazama kiambatisho). Je, kuna mzoefu na hizi boxers za hawa jamaa? Nimeona nianze na piece tatu tu kujaribu. Nikinogewa niongeze. Ninaomba aliyezitumia tupeane uzoefu.

Pia, anaejua duka kwa hapa Dar anielekeze tafadhali.
 

Attachments

  • Screenshot_2025-01-01-10-47-08-802_com.miui.gallery-edit.jpg
    Screenshot_2025-01-01-10-47-08-802_com.miui.gallery-edit.jpg
    403.6 KB · Views: 14
Ndugu wajuvi,

Ni wapi ninaweza kupata boxers zenye ubora hapa Dar? Nyingi zimekaa kiajabu, zinapauka mapema.

Sasa, nimeona nijaribu hizi za Woolworth(tazama kiambatisho). Je, kuna mzoefu na hizi boxers za hawa jamaa? Nimeona nianze na piece tatu tu kujaribu. Nikinogewa niongeze. Ninaomba aliyezitumia tupeane uzoefu.

Pia, anaejua duka kwa hapa Dar anielekeze tafadhali.
Mzeya unanunua zile boxer za woolworth piece tatu za buku 75😲😲😲 upo vizuri mzeya.

Ebu vaa utuoe mrejeaho zikoje maana hizi zingine nao a kama zinabana mbupuz sometime
 
Mkuu unavaa boxer ya nini mkuyenge unaswa kuwa free bila bughudha yeyote. Muwe mnaudhutia vile vikao vyetu.
 
Back
Top Bottom