Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
kuna dada mmoja huwa ananiuzia yupo mwenge njoo pm nikupe mawasiliano yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo nitulie kwanza mpaka tarehe 6Utauziwa bei juu hata hizo masalo za jero jero kuanzia trh 6 hapo
Nitumie na mie namba brokuna dada mmoja huwa ananiuzia yupo mwenge njoo pm nikupe mawasiliano yake
njoo pm mkali nikupe no hana vitu feki anauza boxa zenye quality nzuriNitumie na mie namba bro
Hao jamaa kuna muda wanauza vitu kuuzia sifa tumfano suruali za cardet za brand ya zara kuna muda wanauza hadi laki na nusu suruali moja , ilhali sisi hu tunavizia sell ulaya punguzo ni 38mpaka 45k tunachukua vitu org ,sometimes kujiongeza kunalipa ,pale ninaiman boksa brand ya barsel piece 1 wanakuuzia ata 40kMzeya unanunua zile boxer za woolworth piece tatu za buku 75😲😲😲 upo vizuri mzeya.
Ebu vaa utuoe mrejeaho zikoje maana hizi zingine nao a kama zinabana mbupuz sometime
Sasa kaka si unascan ata bar code ila barsel zipo maeneo mengi tu na ni org ngoja nikupatie namba ya muuzaj mmoja .Kuna duka unaweza kunielekeza? Hofu yangu ni kuuziwa bidhaa ya hovyo. Baadhi unaweza kuta jina kubwa lakini mchina kabandika lebel tu, bidhaa siyo halisi.
Ukichelewa IPO makwapani na kuwasha juu.
Hii si vip ya zamani!
Kikikatika katikati kinapanda juu!Hii niki aaga wakati ni mtoto jamani bado zipo?
HUYO JAMAA LAZIMA NI MTUMISHI WA UMMA MWANDAMIZI AU FISADI.Mzeya unanunua zile boxer za woolworth piece tatu za buku 75😲😲😲 upo vizuri mzeya.
Ebu vaa utuoe mrejeaho zikoje maana hizi zingine nao a kama zinabana mbupuz sometime
sasa s bora ushoneshe kwa fundi cherehan kama mm hapa.....zinadumu miakaaNdugu wajuvi,
Ni wapi ninaweza kupata boxers zenye ubora hapa Dar? Nyingi zimekaa kiajabu, zinapauka mapema.
Sasa, nimeona nijaribu hizi za Woolworth(tazama kiambatisho). Je, kuna mzoefu na hizi boxers za hawa jamaa? Nimeona nianze na piece tatu tu kujaribu. Nikinogewa niongeze. Ninaomba aliyezitumia tupeane uzoefu.
Pia, anaejua duka kwa hapa Dar anielekeze tafadhali.