Mzeya unanunua zile boxer za woolworth piece tatu za buku 75😲😲😲 upo vizuri mzeya.Ndugu wajuvi,
Ni wapi ninaweza kupata boxers zenye ubora hapa Dar? Nyingi zimekaa kiajabu, zinapauka mapema.
Sasa, nimeona nijaribu hizi za Woolworth(tazama kiambatisho). Je, kuna mzoefu na hizi boxers za hawa jamaa? Nimeona nianze na piece tatu tu kujaribu. Nikinogewa niongeze. Ninaomba aliyezitumia tupeane uzoefu.
Pia, anaejua duka kwa hapa Dar anielekeze tafadhali.
Hii niki aaga wakati ni mtoto jamani bado zipo?
Tatizo size changamotoNunua barsel ni nzur sana
Kwamba hakuna barsel kubwa auTatizo size changamoto
Basi kama hutojali, vizia kwa bwana fredy mitumba anaboksa bora toka majuu,sema kuna mpya na second hand ila quality yake sio ya kuuliza mcheki twiiter(kuita x ilishanishinda).Kwamba hakuna barsel kubwa au
Kwamba hakuna barsel kubwa auOka
Yaani kwa mfano mie medium hanitoshi inabidi nivae large. Lakini size yangu ni medium.Kwamba hakuna barsel kubwa au
Mimi navaa extra large na barsel ninazoYaani kwa mfano mie medium hanitoshi inabidi nivae large. Lakini size yangu ni medium.
So ni kuwa makini katika selection
Mzee una mtulinga wa libolo niniMimi navaa extra large na barsel ninazo
Serious size ya nguo boksa ni kiunno sio usemaloMzee una mtulinga wa libolo nini
Kwa hiyo una tumbo kubwaHauko
Serious size ya nguo boksa ni kiunno sio usemalo
Acha kuishi kwa kutaka misifa nyuma ya keyboard kijanaKwa hiyo una tumbo kubwa
Sawa kaka nimekusikia.Acha kuishi kwa kutaka misifa nyuma ya keyboard kijana
Kua makini na sikukuu hizi kila mtu anataka kuvimba kua anakibundaSawa kaka nimekusikia.
Ngoja nikasake mbususu kule mmu
Mbusus na hela sawa na nyanya na kitunguuu majiKua makini na sikukuu hizi kila mtu anataka kuvimba kua anakibunda
Utauziwa bei juu hata hizo masalo za jero jero kuanzia trh 6 hapoMbusus na hela sawa na nyanya na kitunguuu maji