Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

Mkuu Chagu, waati tunabadili sheria na kuleta sheria mpya, tayari tulikuwa na mikataba mingi kwa sheria za zamani, sasa ili tufaidike na hii sheria mpya, inabidi i act retrospectively, sasa ili hili lifanyike, lazima hao wenye migodi wawe cnsulted na wakubali, vinginevyo tunazidi kuibiwa!.

Hii mikataba ya juzi imesainiwa chini ya sheria mpya, kwenye eneo moja tuu la mikataba sheria yetu mpya inasema hivi
View attachment 1341896

Sasa tafuta kilichosainiwa ni hiki?.
Unatunga sheria ya kujimwambafy, lakini unapofika muda wa utekelezaji hiyo sheria inayohitaji umwamba kweli, kumbe wewe huna umwamba huo!, kama hivi ndivyo sheria yetu mpya inavyosema, juzi mkataba umesainiwa bila kipengele hiki kufuatwa na hivi tunavyozungumza kimeisha nyofolewa kimya kimya!.

Sheria ilisema hatutasafirisha mchanga!, tumesaini mchanga unasafirishwa!. What is the use kusaini sheria na vipengele kibao vya kimwamba, halafu unapojikuta huu umwamba hatuna, tunapeleka marekebisho kimya kimya!.

P
P
Mkuu ukisema ifanye kazi restrospective tutashindwa kesi nyingi sana. Maana mikataba ya huko nyuma ilisainiwa chini ya sheria nyingine ya madini. Kumbuka mpaka sasa kuna kampuni kama mbili za Canada zimeshaanzisha zengwe juu ya hili. Na wewe umetoa mfano mzuri tu enzi zile za uhujumu uchumi kuwa sheria haifanyi kazi kinyume nyume. Hapa ni kukomaa na hii mikataba yote ya hovyo na iliyojaa udanganyifu .Ila kama huu wa juzi haukuzingatia hii sheria mpya ni tatizo. Lakini mimi naona kwa sababu serikali itapata mgao baada ya mchanga kuuzwa sio mbaya. Sababu kumbe hata huo mchanga ulikuwa unanunuliwa na Kampuni zingine huko nje.Sio Accacia waliokuwa wanaenda kuuchenjua tena. Pia pitia The natural wealth and resources Contract (Review and Re- negotiations of unconscionable terms) Act, 2017. Utaona namna gani hiyo mikataba ya huko nyuma inaweza kujadiliwa bungeni na kisha tukakaa mezani na wawekezaji ili kuabadili mikataba iliyokuwa ya hovyo.
 
Kuna option ya kupitia mikataba upya na kuisajili kwa sheria mpya.

Kumbuka suala la makinikia limewaleta mezani na kutupa nafasi ya kubadili kabisa mikataba hiyo kwa sheria mpya ( haraka ya hati ya dharura kuwahi majadiliano)
Ipo sheria The natural wealth and Resources contracts (Review and Re-negotiations of unconscionable terms) Act, 2017. Inalipa mamlaka bunge kujadili.na kupitia mikataba ambayo ni ya hovyo na baadae kukaa mezani na kufanya marekebisho na wewekazaji.
 
sijasoma yote bado, lakini:

canons of statutory interpretation do not allow retrospective application of the law.

mikataba yote iliyotengenezwa kabla ya kupitishwa kwa sheria tajwa haiwezi kushughulikiwa na sheria hiyo tajwa.

kama tumeumizwa tumeumizwa tu, let's call a spade a spade.
Mikataba iliyotengenezwa kabla ya sheria hii haiwezi kushughulikiwa? Kwani mpaka Mgodi wa Buly ukafungwa unadhani nini kilikuwa kinafanyika? Kampuni ngapi zilikuwa zinafanya exploration zilisimamishwa? Hata kwa sheria ya mikataba tu unaweza kuvunja mikataba ya kitapeli.
 
Wanabodi,
Swali kuu la msingi ni jee Tanzania, can we stand by mabadiliko haya ya sheria zetu kwa kukata mirija ya wanyonyaji?. Jee do we have the guts to stand by the laws kwa mabadiliko haya?. Isije ikawa tunashangilia sasa, kisha tunakuja kugeuziwa kibao kwenye mengine yote ili kushikishwa adabu na mabeberu hawa na mwisho wake tunakuja kujutishwa?. Nani anakijua kilichomkuta Patrice Lumumba kwasababu ya utajiri wa Almasi?. Nani anakumbuka kuhusu blood Diamonds za Angola etc.

Paskali
Wanabodi, hili ni swali niliwahi kuliuliza siku nyingi, baada ya maziko, lazima tujiulize kwa makini what really happened?, is it natural or, maana kuna vitu you just can't tell kuhusu hawa mabeberu, wanapokuwa na jambo lao, wanaweza kulifanza kwa njia zozote, isije kuwa ni conspiracy fulani...

RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

P
 
Wanabodi, hili ni swali niliwahi kuliuliza siku nyingi, baada ya maziko, lazima tujiulize kwa makini what really happened?, is it natural or, maana kuna vitu you just can't tell kuhusu hawa mabeberu, wanapokuwa na jambo lao, wanaweza kulifanza kwa njia zozote, isije kuwa ni conspiracy fulani...

RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

P


TISS watakuwa na kazi gani sasa kama hao "Mabeberu" wanaweza wakafanya yao ingekuwa kifo kwa sababu ya Risasi hapo sawa TISS wanaweza wakanawa mikono ,,,,,lakini Je TISS wanashindwa kuzuia njama kupitia chakula au Contact ? Kama ni hivyo hiyo ni TISS kama TISS kweli au kichekesho kingine
 
Wanabodi, hili ni swali niliwahi kuliuliza siku nyingi, baada ya maziko, lazima tujiulize kwa makini what really happened?, is it natural or, maana kuna vitu you just can't tell kuhusu hawa mabeberu, wanapokuwa na jambo lao, wanaweza kulifanza kwa njia zozote, isije kuwa ni conspiracy fulani...

RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

P
 
Wanabodi, hili ni swali niliwahi kuliuliza siku nyingi, baada ya maziko, lazima tujiulize kwa makini what really happened?, is it natural or, maana kuna vitu you just can't tell kuhusu hawa mabeberu, wanapokuwa na jambo lao, wanaweza kulifanza kwa njia zozote, isije kuwa ni conspiracy fulani...

RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

P
Paskali, we acha tu.
Tumepoteza jemedari, kwa miaka 5 na siku chache kafanya mambo ambayo kuna vizazi vingi sana huko mbele vitafaidika.

Ngoja mazishi yaishe kuna mengi ya kucheua kuhusu mada hii.

Pumzika baba John Pombe Magufuli;
 
Watu walisema sana wananchi wapewe katiba iliyobora ili misingi imara ibaki ata akuondoka kiongozi yeyote. Wapambe wakasema amna aja ya katiba kwani vitu vyote vinaenda chini Jemedari Magufuli wengine tulibaki kidomo wazi kwa mshangao.

Leo Rais wetu analazwa viongozi wanakua kimya kabisa kusema lolote kuhusu afya na maendeleo ya Rais then tunakuja kushtukizwa kwa kutangaziwa kifo cha Rais utafikira kafa kwa ajali...no one care!!!

Nchi hii kwasasa itategemea tena uhimara wa Rais Samia; akionesha ulegevu then nchi inalega...
Kiongozi asiyewapa wananchi kqtiba yao imara namwona sawa na wajinga wengine.
 
Ndugu zangu mimi nafikiri wanahitajika watanzania wenye uzalendo na uthubutu ili kuhakikisha nchi inaelekea katika njia sahihi. Hekima na busara zikituongoza naamini ni rahisi kusonga mbele na kufaidi rasilimali zetu na kuiletea nchi yetu maendeleo makubwa. Tatizo ni kuwapata akina Musa na Joshua katika mfumo uliopo wa kupata viongozi sahihi ambapo chama tawala kinaamini kuwa viongozi sahihi lazima wawe wamelelewa na na kupikwa na chama. Nasema wapo watu ambao hawana interest kwenye siasa ila ni waadilifu na wana qualities ambazo kiazi kipya cha watanzania wanahitaji. hatuhitaji viongozi wa kupiga blah blah , kutatua matatizo kwa kuunda tume, bali tunahitaji committed na patriotic leaders ambao wanamwogopa tu Mungu na sio mwanadamu.
 
Wanabodi, hili ni swali niliwahi kuliuliza siku nyingi, baada ya maziko, lazima tujiulize kwa makini what really happened?, is it natural or, maana kuna vitu you just can't tell kuhusu hawa mabeberu, wanapokuwa na jambo lao, wanaweza kulifanza kwa njia zozote, isije kuwa ni conspiracy fulani...

RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

P
Ndugu yangu Paskali baada ya miaka au hata siku chache zijazo tutaanza kuuliza ukweli juu ya kifo cha Magufuli, na kama kutakuwa na mkono wa watu basi machafuko yoyote katika nchi yetu basi msingi wake ni kifo cha Mpendwa wetu.

Ndani ya Mwezi mmoja wamefariki watu watatu ndani ya Ikulu. Kijazi, Katibu wa Rais na Rais.

Baadae Kifo cha Kijazi Rais alimchagua mtu wake wa Karibu sana Bwana Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi, kwa maana nyingine CCM haina katibu mkuu, na mtu pekee ambaye angekuwa ana nguvu ya kushawishi maamuzi ya katibu mkuu ni mwenyekiti mwenye nguvu. So Ikawa ni chance to ....
 
Pascal Mayalla Kwa Taarifa nyingine iliyotolewa na marekani hivi karibuni ni kuwa Marekani imeshapeleka wakufunzi wake wa kijeshi nchini Msumbiji kwa ajili ya kulifundisha Jeshi la Msumbiji kupambana na waasi wanaoitwa Islamic State

Kumbuka wahalifu hawa hufanya fujo hadi Mtwara, lakini kumbuka Eneo la Kusini mwa Tanzania na Kaskazini mwa Msumbiji ndio Maeneo yenye gesi nyingi ambayo haijazalishwa/kuendelewa.

Time will tell
 
Wanabodi, hili ni swali niliwahi kuliuliza siku nyingi, baada ya maziko, lazima tujiulize kwa makini what really happened?, is it natural or, maana kuna vitu you just can't tell kuhusu hawa mabeberu, wanapokuwa na jambo lao, wanaweza kulifanza kwa njia zozote, isije kuwa ni conspiracy fulani...

RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

P
Hata kama lakini pamoja na yote Hayati JPM hakuwahi salute kwao....Hilo tu ni funzo tosha kwao kwamba there are people who can remain firm to the point of death...The spirit of Mkwawa, and this will keep on repeating itself mpaka siku itasababisha mageuzi ya milele...

He remains a hero forever...Maneno na matendo yake yabaki kama mwangwi milele kwao na vibaraka wao wote wa ndani na nje ya Tanzania, Africa na kokote ulimwenguni...Dr. John Pombe Joseph Magufuli amewaumbua watu wote wenye kudhani African are useless and helpless....
 
Hata kama lakini pamoja na yote Hayati JPM hakuwahi salute kwao....Hilo tu ni funzo tosha kwao kwamba there are people who can remain firm to the point of death...The spirit of Mkwawa, and this will keep on repeating itself mpaka siku itasababisha mageuzi ya milele...

He remains a hero forever...Maneno na matendo yake yabaki kama mwangwi milele kwao na vibaraka wao wote wa ndani na nje ya Tanzania, Africa na kokote ulimwenguni...Dr. John Pombe Joseph Magufuli amewaumbua watu wote wenye kudhani African are useless and helpless....
And still aliendelea kukopa kwenye institutions zao fedha za miradi. Na aliendelea kupokea misaada ya afya Kama zile dola za kupambana na COVID19 kutoka EU.

Any way alichofanya ni coup in a cup of tea
 
Akizikwa tu na mambo yake yamezikwa hakuna wa kumuongelea tena, kama kuna mkono wa mtu basi ujue ni wamafia kuliko yeye alokuwa na maulinzi toka kwa kagame.
Nchi haiongozwi kwa mabavu na kutukana viongozi wenzako,
Maridhiano na umoja wa kitaifa havikuwepo, ni kubweka tu na kudhulumu.
Samia anaweza kua the best ever
Paskali, we acha tu.
Tumepoteza jemedari, kwa miaka 5 na siku chache kafanya mambo ambayo kuna vizazi vingi sana huko mbele vitafaidika.

Ngoja mazishi yaishe kuna mengi ya kucheua kuhusu mada hii.

Pumzika baba John Pombe Magufuli;
 
And still aliendelea kukopa kwenye institutions zao fedha za miradi. Na aliendelea kupokea misaada ya afya Kama zile dola za kupambana na COVID19 kutoka EU.

Any way alichofanya ni coup in a cup of tea
Maumivu uliyonayo yanauma mara mbili kwanza ku betray nchi yako kisha kuidanganya nafsi yako; who can help you from this?

Pole sana...Ameondoka kishujaa na roho yake aliyoithibitisha kwa maneno yake na matendo yake yanabakia kukuumiza milele...Poor soul!
 
Akizikwa tu na mambo yake yamezikwa hakuna wa kumuongelea tena, kama kuna mkono wa mtu basi ujue ni wamafia kuliko yeye alokuwa na maulinzi toka kwa kagame.
Nchi haiongozwi kwa mabavu na kutukana viongozi wenzako,
Maridhiano na umoja wa kitaifa havikuwepo, ni kubweka tu na kudhulumu.
Samia anaweza kua the best ever
Maridhiano gani? Ya uwizi na ufisadi?

Mnabahati mbaya sana kila mkijaribu kuja na yenu tunawapandishia clip zake...

Thanks to mama Samia HE kuwaonyesha she wont go a bit far from him, hajavaa hizo masks zenu...A perfect sign of loyalty...Physical bodies die but never the spirits; eventually when the spirit wants to multiply its effect it has to be released from physical body through death to impact many bodies...This is what happened to Magufuli, his spirit is now free in air to enter in whoever wills to receive...I believe there are many of us...Watch and see how we would play this show...
 
Hata kama lakini pamoja na yote Hayati JPM hakuwahi salute kwao....Hilo tu ni funzo tosha kwao kwamba there are people who can remain firm to the point of death...The spirit of Mkwawa, and this will keep on repeating itself mpaka siku itasababisha mageuzi ya milele...

He remains a hero forever...Maneno na matendo yake yabaki kama mwangwi milele kwao na vibaraka wao wote wa ndani na nje ya Tanzania, Africa na kokote ulimwenguni...Dr. John Pombe Joseph Magufuli amewaumbua watu wote wenye kudhani African are useless and helpless....
Wajinga ndio waliwao
Kamuumbua nani sasa zaidi ya kuleta u dikteta uchwara tu ndani ya nchi
 
Maridhiano gani? Ya uwizi na ufisadi?

Mnabahati mbaya sana kila mkijaribu kuja na yenu tunawapandishia clip zake...

Thanks to mama Samia HE kuwaonyesha she wont go a bit far from him, hajavaa hizo masks zenu...A perfect sign of loyalty...Physical bodies die but never the spirits; eventually when the spirit wants to multiply its effect it has to be released from physical body through death to impact many bodies...This is what happened to Magufuli, his spirit is now free in air to enter in whoever wills to receive...I believe there are many of us...Watch and see how we would play this show...
Hujamuona Jafo kaanza kuzivaa
Baada ya Mwezi Jiwe atakuwa Historia
Hakuna atakayemkumbuka
 
Hujamuona Jafo kaanza kuzivaa
Baada ya Mwezi Jiwe atakuwa Historia
Hakuna atakayemkumbuka
Wewe hutamkumbuka mimi moja nitamkumbuka na kwakua Mungu wa Magufuli ni yule wangu basi kumbuka yeye hajafa wala hasinzii...Read my lips huu mchezo aliuanzisha yeye na yeye ataukamilisha hakuna atakayeweza upangua...Rudi kusoma notes zangu za siku za nyuma...Tulia meza mate subiri uone; retreat is never surrender!
 
Wajinga ndio waliwao
Kamuumbua nani sasa zaidi ya kuleta u dikteta uchwara tu ndani ya nchi
Uzuri ni kwamba aliku dictate kama ulivyo amini na bado hukupewa nafasi ya kufurukuta mpaka amesalimia roho yake kwa muumba, mbaya eeh!...Nani aliyepoteza sasa; wewe au yeye?

Mwenzako ameagwa kishujaa privillage ambayo wewe hutokaa uipate maishani mwako...Watanzania siyo wajinga!
 
Back
Top Bottom