Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

Nginana,

Mkuu..
Naomba nitangulize heshma zangu kwako..
Hua ni wajibu kuheshimu waliokuzidi kiumri na kifikra..
Hapa umenifunza jambo na nashukuru nimejifunza kupitia bandiko lako hilii..

Hawa wanaoshangilia kila jambo bila hata kuhoji..bado wanazidi kuzaliwa..
labda ipo siku tutabadililka..
 
Inasikitisha una umri wa kushuhudia marais wote watano ila nado mwoga, hiki kizazi chenu asilimia kubwa ndo gundu kwa hili taifa!
Bado unahitaji msaada kujua tofauti kati ya UOGA na UMAKINI. Nimetoa truth from the historical background with a living experience sasa sijui hapa wewe mwenzangu unabisha, unashauri, unagomba au?
 
Pascal Mayalla,

Mkuu Paskali

Hongera tena kwa hojaji mujarabu toka kwako.

Maoni yangu kwa ufupi: hizi sheria na mikataba inawekwa na wanadamu. Naamini unafuatilia pattern na trends za siasa za Duniani kwa wakati huu. Bila shaka umeona Nationalist leaders wanavyotangua sheria, kanuni na norms. Inatokea America, Philippines, United Kingdom na hapa Afrika inatokea humu humu Tanzania.

Je, umesikia hivi vyombo vya kimataifa vikikemea nationalist ideas zinazokiuka international treaties? Well,siku hizi, wanaojua hawasemi.
 
Pascal Mayalla,

Wakili msomi, neno sahihi ni retrospectively wala siyo retro-respectively....halafu nyinyi ndiyo wa kwanza kuona makosa ya lugha ya kiingereza kwa wengine.
 
Kila kitu kina mwanzo, tusiwe waoga, tuache Muheshimiwa Raisi atengeneze jurisprudence mpya, new international legal order, tufikirie nje ya box.
 
inatakiwa kuwa 'RETROSPECTIVELY'
ikimaanisha sheria inayorekebishwa au kutungwa upya je inaweza kutumika kwa makubaliano yaliyokuwepo kabla ya sheria hiyo mpya/marekebisho ya sheria? (sheria kufanya kazi kinyume nyume; pia mfano waweza kuwa labda kwa sasa hatuna sheria inayowaadhibu wale wanaowaambukiza wengine virusi kwa makusudi, je kesho ikitungwa sheria hiyo leo itawaadhibu walioambukiza wengine ukimwi kwa makusudi jana, mwaka jana/siku za nyuma/)

Natumaii nimesaidia japo kidogo
 
Augustino Fanuel Massongo,

upo sahihi mkuu tatizo mihemko ndio imewatawala watanzania wengi lazima tujue kutofautisha kati ya kuwaza na kufikiri, waweza waona watu wengi wanakimbia na wewe ukakurupuka na kuwaza kua wanamkimbiza mwizi halafu ukaamua kuungana nao mwisho wa siku baada ya kufikiri huku jasho likiwa linakutoka bila kumuona mwizi huyo ndio unagundua kumbe wenzako walikua wanafanya mazoezi ya kukimbia jogging
 
inatakiwa kuwa 'RETROSPECTIVELY'
ikimaanisha sheria inayorekebishwa au kutungwa upya je inaweza kutumika kwa makubaliano yaliyokuwepo kabla ya sheria hiyo mpya/marekebisho ya sheria? (sheria kufanya kazi kinyume nyume; pia mfano waweza kuwa labda kwa sasa hatuna sheria inayowaadhibu wale wanaowaambukiza wengine virusi kwa makusudi, je kesho ikitungwa sheria hiyo leo itawaadhibu walioambukiza wengine ukimwi kwa makusudi jana, mwaka jana/siku za nyuma/)

Natumaii nimesaidia japo kidogo
Shukran kwa ufafanuzi...

Naelewa maana ya neno 'retrospectively' ila 'retro-respectively' sikulielewa ndo maana nikataka ufafanuzi kwamba inawezekana labda ni neno jipya sijalinyaka bado.
 
Sheria zitakazo-'Act Retrospectively' ni zile za Bodi ya Mikopo na za Fao la Kujitoa tu..🙂🙂
Hizi zingine ni maigizo.. labda wakubali wenyewe ku 're-negotiation' bila ya kuwalazimisha na sheria kamili -ingekuwa Ibara katika sheria yenye neno.. 'The Government 'may' re-negotiate'..
Nchi nyingine huchukulia sheria za namna hii kuwa ni kandamizi..
 
Paskali Mayala umethibitisha pasipo shaka that you are not only great thinker but also have shown you are critical minded. Tunapambana na mabeberu yaliyokubuhu katika unyonyaji. we need as a country to be smart enough.
Hii umeanza kujua lini?
 
Wanabodi,
Kwanza naunga mkono marekebisho ya sheria hizi kufanyika, japo sio kwa hati ya dharura.

Tayari pongezi zimeishaanza kumiminika kwa Rais Magufuli na Prof. Kabudi, huu sio uzi wa pongezi, bali ni uzi wa maswali ya kujiuliza, Je, sheria hizi mpya Zita Act Retro Respectively?.

Kama yes, then Tanzania tutakuwa tumevunja mikataba yote ya kinyonyaji kuhusu rasilimali zetu, na wanyonyaji hawa, watakuwa hawana uwezo wa kutushitaki popote zaidi ya Tanzania!. Swali kuu la msingi ni jee Tanzania, can we stand by sheria zetu?, je, do we have the guts to stand by the laws kwa mabadiliko haya?. Isije ikawa tunashangilia sasa, kisha tunakuja kushikishwa adabu na mabeberu hawa na kujutishwa?.

Nakiri kupandisha uzi huu baada ya kumsoma mwana jf huyu
View attachment 532796
Mkuu Msemakweli, asante kwa hii. Kwanza naunga mkono hoja ila sio kwa haraka na udharura huu wa bunge letu, bila kupata muda wa kutafakari na kupima the consequences.

Miswada hii ikipita hivi hivi ilivyo, na kama itakuwa applicable retro respectively kwa mikataba hii ya kinyonyaji iliyopo sasa, then Tanzania tutakuwa automatically tumevunja mikataba yote ya uwekezaji kwenye maliasili zetu, hakuna tena kutishiwa kushitakiwa popote nje ya Tanzania, hakuna cha IICD wala cha MIGA, mambo yote sasa ni Sheria za Tanzania!, huu ndio uzalendo, huu ndio uanamume, na kama hawataki, wafungashe, wakwende zao!, but can we stand?. Do we have the guts?.

Lakini kama sheria hizi mpya, zitaanza kutumika kwa mikataba mipya itakayoingiwa kuanzia sasa, baada ya kuwepo kwa vipengele hivi, then Watanzania wenzangu, wala tusishangilea saana kivile, kwa sababu, kwa mikataba iliyopo mpaka imalizike, wawekezaji wanyonyaji hawa, wanaweza kabisa kuwa wame extract madini yetu yote, na gesi yote na Tanzania tukaachiwa tuu mashimo!.

Ili sheria hii iwe na maana ni lazima ianza kutumika kuanzia sasa ilipopitishwa, ila wa vile sheria huwa hazi act retro respectively, kwa mikataba iliyofungwa kabla ya sheria hii, inakuwa haifungwi na mabadiliko haya, wanasheria mliopo humu tusaidieni, jee vipengele hivi vipya, havivunji mikataba iliyopo inayotaka usuluhishi kwanye vyombo vya kimataifa?.

Jee nini hatma ya Tanzania kwenye mikataba ya kimataifa tulioridhia ikiwemo MIGA?.

Nini hatima ya Tanzania katika uwekezaji kupitia FDI?, wenye fedha zao kweli watakuwa tayari to take such risks?.

Jee tushangilie tuu, au pia tujiulize na the consequences, jee Tanzania tuna guts to stand the international pressures za mabeberu hawa, ama tunapitisha tuu kwa mbwembwe, lakini kibano kikitufika, tutaufyata na kuheshimu mikataba ya kinyonyaji iliyopo?.

Paskali
Mineral Right

An interest in minerals in land, with or without ownership of the surface of the land. A right to takeminerals or a right to receive a royalty.

Mineral right is a term encompassing all the ways a person can have a possessory interest inminerals in the ground. It includes the right to enter the land and occupy it in order to remove theminerals. Mineral rights can be retained when land is sold or conveyed, thus making it possible forsomeone to own the right to mine the minerals without owning the land. A right of entry onto theland can be held by the grantor who retains the mineral rights, or other arrangements can be madeto gain access to the minerals. Mineral rights can be leased or sold. A landowner who leasesmineral rights often receives a royalty, or a percentage of the value of the minerals which are minedby the leaseholder.

Cross-references

Mine and Mineral Law.

West's Encyclopedia of American Law, edition 2. Copyright 2008 The Gale Group, Inc. All rights reserved

Paskal,
Miswada pendekezwa ni great transformation ya mining industry- haitabaki kama ilivyo kwa sababu inabadilisha siyo tu mazingira bali hata mahusiano- who is the mineral right owner.
kwa mujibu wa miswasa ni watanzania na ACICIA et al wanakuwa vibarua wetu; ajabu miswada haisemi tutawalipa nini hawa vibarua ambao kazi yao ni kutuchimia madini yetu.
 
Wanabodi,
Kwanza naunga mkono marekebisho ya sheria hizi kufanyika, japo sio kwa hati ya dharura.

Tayari pongezi zimeishaanza kumiminika kwa Rais Magufuli na Prof. Kabudi, huu sio uzi wa pongezi, bali ni uzi wa maswali ya kujiuliza, Je, sheria hizi mpya Zita Act Retro Respectively?.

Kama yes, then Tanzania tutakuwa tumevunja mikataba yote ya kinyonyaji kuhusu rasilimali zetu, na wanyonyaji hawa, watakuwa hawana uwezo wa kutushitaki popote zaidi ya Tanzania!. Swali kuu la msingi ni jee Tanzania, can we stand by sheria zetu?, je, do we have the guts to stand by the laws kwa mabadiliko haya?. Isije ikawa tunashangilia sasa, kisha tunakuja kushikishwa adabu na mabeberu hawa na kujutishwa?.

Nakiri kupandisha uzi huu baada ya kumsoma mwana jf huyu
View attachment 532796
Mkuu Msemakweli, asante kwa hii. Kwanza naunga mkono hoja ila sio kwa haraka na udharura huu wa bunge letu, bila kupata muda wa kutafakari na kupima the consequences.

Miswada hii ikipita hivi hivi ilivyo, na kama itakuwa applicable retro respectively kwa mikataba hii ya kinyonyaji iliyopo sasa, then Tanzania tutakuwa automatically tumevunja mikataba yote ya uwekezaji kwenye maliasili zetu, hakuna tena kutishiwa kushitakiwa popote nje ya Tanzania, hakuna cha IICD wala cha MIGA, mambo yote sasa ni Sheria za Tanzania!, huu ndio uzalendo, huu ndio uanamume, na kama hawataki, wafungashe, wakwende zao!, but can we stand?. Do we have the guts?.

Lakini kama sheria hizi mpya, zitaanza kutumika kwa mikataba mipya itakayoingiwa kuanzia sasa, baada ya kuwepo kwa vipengele hivi, then Watanzania wenzangu, wala tusishangilea saana kivile, kwa sababu, kwa mikataba iliyopo mpaka imalizike, wawekezaji wanyonyaji hawa, wanaweza kabisa kuwa wame extract madini yetu yote, na gesi yote na Tanzania tukaachiwa tuu mashimo!.

Ili sheria hii iwe na maana ni lazima ianza kutumika kuanzia sasa ilipopitishwa, ila wa vile sheria huwa hazi act retro respectively, kwa mikataba iliyofungwa kabla ya sheria hii, inakuwa haifungwi na mabadiliko haya, wanasheria mliopo humu tusaidieni, jee vipengele hivi vipya, havivunji mikataba iliyopo inayotaka usuluhishi kwanye vyombo vya kimataifa?.

Jee nini hatma ya Tanzania kwenye mikataba ya kimataifa tulioridhia ikiwemo MIGA?.

Nini hatima ya Tanzania katika uwekezaji kupitia FDI?, wenye fedha zao kweli watakuwa tayari to take such risks?.

Jee tushangilie tuu, au pia tujiulize na the consequences, jee Tanzania tuna guts to stand the international pressures za mabeberu hawa, ama tunapitisha tuu kwa mbwembwe, lakini kibano kikitufika, tutaufyata na kuheshimu mikataba ya kinyonyaji iliyopo?.

Paskali
Pascal unashangaza lakini..wewe unatilia shaka kile kimeandaliwa na Mwl wako Prof. Kabudi, sijui kwa nini huoni mashaka kwa mashaka uliyo nayo, hayo uliyoyaeleza, kuuliza au kuyabaini yule aliyeandika miswaada hii ambaye kila siku anadeal na sheria unadhani hajayaona ila wewe uliyesoma bachelor ya sheria ambayo hata huitumii kwa sababu si wakili unafanya kitu kingine ndiye umeona..hili linawezekana?? hufikirii kwamba mashaka yako yaweza kuwa ynaonyesha kiwango cha ujinga ulichonacho???
Halafu sijui kwa nini unapenda sana kutumia neno KUUFYATA, hata kama unaongea kifasihi..hilo si neno zuri kulitumia kwenye hadhara ambayo ndani yake wamo wanaokuzidi wewe ktk nyanja tofauti, umri, hadhi, upeo, ujuzi, ufahamu wa lugha nk. tumia maneno mazuri yanayoleta umakini hata wa kile unachozungumzia.
Jielemishe kuijua hii dunia ktk pande zote mbili, mazuri na mabaya..maelezo yako ni kama dunia hii wawekezaji wote ni mabeberu wanyonyaji..huo ni muono lakini unaweza kuwa potofu, sijui kwa nini hujiulizi kwamba hulka ya binadam hubadilika kadri kulingana na mazingira..ukiishi na waongo itakuwia vigumu kuwa mkweli, nchi zinazoendelea zinapoamua kuwa makini si ujumbe mbaya kwa nchi zote zilizoendelea, wapo wengine wanasifu na kusaidia hatua hii..tena wengi tu. nakupa neno moja tu linatosha kujibu hoja zote ulizoleta hapa..TUJITEGEMEE achana na fikra za kuonewa, kusumbuliwa au hata kuadhibiwa na wengine eti tu vile unataka kujitegemea, futa fikra za utegemezi kichwani mwako..zaliwa upya kimtizamo pascal!
 
Sheria nyingi mbovu mbovu zilipelekwa kwa njia ya Hati ya Dharura, sjui kwa nn hawataki zijadiliwe kwa kina.
 
Back
Top Bottom