Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

mkuu, kwenye awamu hii reasoning ya wasomi wa Kitanzania waliomo serekalini na chamani imekuwa paralysed na JPM intimidation.
utadhani wamerogwa vile.
misukule.
hakuna wa kusema fyoko hata kama wanajua kinachofanywa na kusemwa si sahihi!
Na awamu zile wakati wanasaini reasoning ya hao wasomi nani alikuwa amewa intimidate? Maana siamini kama JPM amewa intimidate all the way long since mikataba ya mwadui miaka 50 sasa.
 
Hii ni nchi ya Magufuri,he's the only thinker allowed to think on our behalf,the rest wait for the press release.Bunge ,Mahakama kazi yao ni kupiga mhuri tu wa maamuzi ya Magufuri.
 
sijasoma yote bado, lakini:

canons of statutory interpretation do not allow retrospective application of the law.

mikataba yote iliyotengenezwa kabla ya kupitishwa kwa sheria tajwa haiwezi kushughulikiwa na sheria hiyo tajwa.

kama tumeumizwa tumeumizwa tu, let's call a spade a spade.
 
Hoja ni nzuri, wakuielewa ni wachache sana, umetaja MIGA watu watasema unawatisha kama walivyo mwambia Tundu Lissu. kwahiyo mimi naona acha tuwasikilize wao CCM kama ulivyo wasikia Jana, Msukuma anasema hata siku moja inatosha unasoma ili iweje, na ukiangalia wao ndio wengi lazima kitapita hicho wanacho amini wao.

CCM nilivyo wajua mimi kuanzia swala la Makinikia, ni kwamba huwa hawagundui kosa mpaka ipite Miaka 20 au 18 ndio wanajua hapa wamekosea, kwahiyo sidhani kama walivho kipeleka wataweza kusikiliza wengine wanashauri nini.

Nakumbuka ile ya Lissu na Chenge, Mama makinda alikuwa anahoji kuhusu sheria fulani, alimpa Lissu nafasi akatoa maoni yake, CCM wakaona hayafai wapiga kelele lakini alipopewa Chenge akasema mimi naona alivyosema Lissu ni sahihi. hakuongeza neno.

Tuwaache baada ya Miaka 20 watajua wamekosea wapi.
 
Paskali Mayala umethibitisha pasipo shaka that you are not only great thinker but also have shown you are critical minded. Tunapambana na mabeberu yaliyokubuhu katika unyonyaji. we need as a country to be smart enough.
 
Pascal Mayalla, hizo sheria mpya sidhani kama zitaattract investors. Labda Chinese!!

Haiwezekeni wawekezaji wakaziamini hizi mahakama zetu ambazo hata chaguzi za Majaji wake ziko too political. Kwa ujumla wawekezaji wanaweza kabisa kukubali kukaa mezani kuijadili mikataba iliyopo ili kuturidhisha ila hii ya kutumia mahakama za ndani tu naona haziwezi kuwapa peace of mind. Actually it does not make sense at all na sijui hiyo sheria inalenga kwenye nini hasa. Kwa ujumla kama hiyo mikataba itakuwa inatufaidisha sisi ina maana wao hawatafaidi hiyo it wont make sense for the to invest or continue investing in Tanzania!!

Kwa ujumla unyonyaji ni sehemu ya hulka ya Ubinadamu. At a lower level hata tukiangalia nchini, utakuta serikali inawanyonya wafanyakazi wake, wengine wanawanyonya watumishi wao wa ndani (house girls or boys). Kwa sasa tunalalamika kuwa wafanyakazi wananyonywa na kuonewa huko kwenye migodi. Sina uhakika huo. Ila binafsi nilishakwenda kwenye kiwanda cha sukari TPC na Mtibwa tena enzi zile vikiwa chini ya serikali. Kwa jinsi wale laborers walivyokuwa treated tena na Watanzania wenzao sikuamini. Wakati ule Wasafa walikuwa maarufu sana kama wakata miwa kwenye viwanda vya sukari!!

Nchi kama South Africa ambazo tunaona Makaburu ni sehemu ya matatizo kwenye rasilimali zetu ukienda huko RSA ambako makapuni yao yanachimba na kuuuza bado utasikia kelele nyingi tu. Wengine wanataka yataifishwe tena mpaka mabenki. Kwa sasa mambo mengi duniani yamekuwa too politicized kiasi kwamba tunaondoka kwenye reality. Hii ni kwa kuwa matajiri wanazidi kuwa matajiri zaidi na maskini wanazidi kuwa maskini zaidi. Hizo siasa ndiyo zimesababisha watu kama Trump kupata Urais USA!!
 
Hatuwezi kushtakiwa kwa lolote ikiwa vipengele hivyo vya mikataba vinakiuka haki na uhuru wa nchi, kama hujui uliza ujibiwe, soma dhana ya state sovereign utaelewa, kuna mikataba ya UN inatambua na kusisitiza kuwa maliasili za nchi ni mali za nchi husika, kwani mikataba hiyo na Katiba yetu ni kipi kina-prevail?
 
sijasoma yote bado, lakini:

canons of statutory interpretation do not allow retrospective application of the law.

mikataba yote iliyotengenezwa kabla ya kupitishwa kwa sheria tajwa haiwezi kushughulikiwa na sheria hiyo tajwa.

kama tumeumizwa tumeumizwa tu, let's call a spade a spade.

Kama iliwezekana |Bodo ya mikopo , basi na hii itawezekana!

Just thinking!
 
hatufanyi kitu kumlidhisha beberu tunafanya kitu kwa maslahi ya watanzania na si mabeberu, sisi ndio wenye rasilimali
Same kwa Beberu.

Beberu haji kuwekeza ili kukupa faida. Sasa kama tunaweza wenyewe si tufanye tu ......... kwa nini tujihangaishe na mikataba au kurebisha sheria kila siku!!
 
Kwanza naunga mkono hoja ila sio kwa haraka na udharura huu wa bunge letu, bila kupata muda wa kutafakari na kupima the consequences.
upload_2017-6-30_11-21-3.png

nimekipenda sana hiki kipande,, Yaani hebu tuache utani na maslahi mapana ya kitaifa. Yaani miswada kama iko design hii akina Musukuma, Lusinde, Maji marefu, Jah people wanaongea kitu gani hapa? Hebu tuache ujinga aiseee!! Eti Musukuma anashangilia miswada mi-3 kuletwa siku moja!!
 
Mkuu PASKALI nimeupenda huu uzi kwa kuwa given the understanding ya wabunge wetu hasa kwa mihemko wanayokuwaga nayo, si ajabu kuwa na matokeo mabaya hapo mbeleni!

Kwa kifupi tu, A "retrospective law" au pia huitwa "retroactive law" is a law that imposes a new obligation on past things or a law that starts from a date in the past.

Unaweza pia ukasema "is one that is to take effect, in point of time, before it was passed".

That is to say, such a law can legalise the illegality and vise versa, it can punish the used to be unpunishable acts or omissions and vise versa, but it can also rectify the past defects in the law.

However it should be noted with diligent care, that whenever a law of this kind impairs the obligation of contracts, it is VOID. But laws which only vary the remedies, divest no right, but merely cure a defect in proceedings otherwise fair, are valid.

Hili liwe angalizo tu kwa watunga sheria wetu.
 
Imefika wa kati ndio iwe ndio na hapana iwe hapana chochote kinachoamuliwa iwe kwa ndio au hapana kina matokeo yake baadhi ni asi na nyingine ni chanya ni wa kati wa kufanya hivyo sasa ila sio mambo ya sitaki na taka
 
Mkuu PASKALI nimeupenda huu uzi kwa kuwa given the understanding ya wabunge wetu hasa kwa mihemko wanayokuwaga nayo, si ajabu kuwa na matokeo mabaya hapo mbeleni!

Kwa kifupi tu, A "retrospective law" au pia huitwa "retroactive law" is a law that imposes a new obligation on past things or a law that starts from a date in the past.

Unaweza pia ukasema "is one that is to take effect, in point of time, before it was passed".

That is to say, such a law can legalise the illegality and vise versa, it can punish the used to be unpunishable acts or omissions and vise versa, but it can also rectify the past defects in the law.

However it should be noted with diligent care, that whenever a law of this kind impairs the obligation of contracts, it is VOID. But laws which only vary the remedies, divest no right, but merely cure a defect in proceedings otherwise fair, are valid.

Hili liwe angalizo tu kwa watunga sheria wetu.
What about if the contract by itself is void what's is the implication of the said laws
 
Nakumbuka ile ya Lissu na Chenge, Mama makinda alikuwa anahoji kuhusu sheria fulani, alimpa Lissu nafasi akatoa maoni yake, CCM wakaona hayafai wapiga kelele lakini alipopewa Chenge akasema mimi naona alivyosema Lissu ni sahihi. hakuongeza neno.

Tuwaache baada ya Miaka 20 watajua wamekosea wapi.

nakumbuka sana hii, walikuwa wanaazimia wazee wa Escrow nadhani.
 
Mada ni nzuri na inatoa tahadhali jadidi kwa watunga sheria wetu pamoja na watekelezaji. wakati tunasubiri uchambuzi wa kisheria, ngoja na sisi "makanjanja" wa sheria tujimwayemwaye kidogo. Ili kujiwekea mazingira salama ya kupoteza wawekezaji na kutishia wale waliokuwa na nia ya kuja kuwekeza nchini, tunapaswa kuchukua tahadhali na sio kukurupuka tu. Tuliyoyapata wakati wa siasa ya kujitegema na azimio la Arusha yanatosha tujifunze kwa makosa ya nyuma. Naafiki kufanya marejeo ya sheria zetu, na iwekwe wazi kuwa utekelezaji wake uanze mara moja ila kwa mikataba mipya tu inatakayosainiwa baada ya sheria hii kupita. Ile mikataba ya zamani, sheria itamke kuwa kuwepo nafasi ya majadiliano ili pande zote zipate chochote na sio upande mmmoja upate zaidi sana. Kuhusu mahakama ipi itumike kwa mikataba ya zamani, ni vema sheria itamke kuwa ni vema mahakama za ndani zikatumika kwanza, isipokuwa tu pale ambapo upande mmoja hautaridhika na mahakanma za ndani ndipo uamuzi wa kwenda kwenye mahakama za kimataifa ufanywe. Tukishinikiza kuwa sheria hii mpya ianze kutumika kwa mikataba mipya na ya zamani ni dhahili tutafukuza wawekezaji wote nchini,na sio kwenye madini tu bali kwenye miradi ya gesi inayotarajiwa. Jambo hili litayumbisha sana uchumi wetu. Tunahitaji busara ya viongozi katika hili, wache kuongozwa na mihemko.
 
Back
Top Bottom