Zitto ajianika alivyotumika jana kumuombea msamaha Mbowe

Zitto ajianika alivyotumika jana kumuombea msamaha Mbowe

View attachment 2046053

Tumeshakwambia Mbowe hahitaji kusamehewa anahitaji kuachiwa huru kwa sababu kesi ni ya kubumba. Mbona huelewi wewe wakala?

Wa kuomba msahama ni Rais Samia sio Mbowe


Nyie Chadema akili zenu hazipo sawa; hivi ni wapi Zitto katika hotuba yake Mbele ya Rais Samia aliomba Mbowe "ASAMEHEWE", Zitto aliomba Mwenzetu mmoja (Mbowe) aachiwe kwa mujibu wa sheria na taratibu wala hakusema "asamehewe", hilo neno msamaha kaliweka Tundu Lissu ili kupotosha umma.

Nenda U tube na usikilize hotuba ya Zitto ipo very clear na wala hakuomba Mbowe asamehewe.
 
Yaani unataka GAIDI atoke ndani halafu atuvurugie Krismas yetu na mwaka mpya kwa kukata miti na kuziba barabara na kuchoma vituo vya mafuta??? Hizo huruma za kumwachia GAIDI hatari zimeanza lini?
Una krismass gani masikini na fukara mkubwa wewe?
Katika watu wanaosherehekeaga krismass na mwaka mpya wewe nawe unajiona umo?
 
Nyie Chadema akili zenu hazipo sawa; hivi ni wapi Zitto katika hotuba yake Mbele ya Rais Samia aliomba Mbowe "ASAMEHEWE", Zitto aliomba Mwenzetu mmoja (Mbowe) aachiwe kwa mujibu wa sheria na taratibu wala hakusema "asamehewe", hilo neno msamaha kaliweka Tundu Lissu ili kupotosha umma.

Nenda U tube na usikilize hotuba ya Zitto ipo very clear na wala hakuomba Mbowe asamehewe.
Weye ni lipuuzi.
 
Acheni upuuzi wenu, mmetulia majumbani mwenu na familia zenu mwezenu anasota jela. Mnazani Mbowe atatoka kwa hashtag zenu! Chadema imeshapoteza mwelekeo, mpo disorganized sana katika hili, mwezenu anateseka nyie mnapiga porojo tu.
Wewe ndo mpuuzi,kwani mbowe ni mtoto hadi asemewe na wapuuzi kama wewe.Kesi inamhusu yeye kwahiyo anaweza kuamua vyovyote kujiletea nafuu sasa wewe ni nani by the way hadi ujifanye unawashwa sana na mambo ya mbowe kuliko yeye mwenyewe.
 
Atarudi lakini siyo kwa kumpigia shetani magoti.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nyie watu wa ajabu kweli! Mwenzenu anateseka nyie mnapiga porojo kisha mnarudi kwenye familia zenu.
Wewe ndo mpuuzi,kwani mbowe ni mtoto hadi asemewe na wapuuzi kama wewe.Kesi inamhusu yeye kwahiyo anaweza kuamua vyovyote kujiletea nafuu sasa wewe ni nani by the way hadi ujifanye unawashwa sana na mambo ya mbowe kuliko yeye mwenyewe.
Sasa na wewe ni msemaji wa Mbowe hata uje ujibu hapa? We naww umewashwa nini au ww nike wa mbowe?
 
Weye ni lipuuzi.


Hapo ndipo uwezo wako wa kujibu hoja ulipofikia!!🤣

Swali ni hili; Ni wapi katika hotuba ya Zitto mbele ya Rais Samia, Zitto alimuombea Mbowe "MSAMAHA" ??!!---- hotuba yote ya Zitto ipo, kama mnashindwa kujibu hilo swali mpelekeeni Tundu Lissu aje anijibu hapa kwani ni yeye ndiye anapotosha umma kwamba Zitto kamuombea MSAMAHA Mbowe, Zitto alimuomba Rais Samia amuachie (yaani amfutie mashitaka) Mbowe na sio ASAMEHEWE kama jinsi Tundu Lissu anavyopotosha umma.

Kwanini Tundu anapotosha umma; nadhani kwasababu kitendo alichofanya Zitto kimemuuma kutokufanywa na Yeye au mwanachadema yeyote na hii ni ujinga wenu kutokuhudhuria ule mkutano ambapo kiongozi mmoja wa chadema ndiye angaliwasilisha ombi la kufutiwa mashitaka Mbowe, sasa inaonekana kama Mbowe ataachiwa hiyo itakuwa ni credit kwa Zitto na political mileage kwa ACT kitu ambacho Tundu Lissu hataki na ndio maana anamshutumu Zitto kijinga na kwa Wivu kama kwamba hapendi kuona Mbowe akitolewa mahabusu.🤣
 
Nyie watu wa ajabu kweli! Mwenzenu anateseka nyie mnapiga porojo kisha mnarudi kwenye familia zenu.

Sasa na wewe ni msemaji wa Mbowe hata uje ujibu hapa? We naww umewashwa nini au ww nike wa mbowe?
Wewe ni mjinga wa karne nyingi sana.Usijifanye unampenda sana mbowe.Mimi mbowe hajanituma na wewe hajakutuma sasa unawashwa nini na kinyeo.toa unafiki wako hapa.
 
Tikisa kichwa uone kama upo sawa.Maelezo meeeeeengiii ujinga mtupu.
Hapo ndipo uwezo wako wa kujibu hoja ulipofikia!!🤣

Swali ni hili; Ni wapi katika hotuba ya Zitto mbele ya Rais Samia, Zitto alimuombea Mbowe "MSAMAHA" ??!!---- hotuba yote ya Zitto ipo, kama mnashindwa kujibu hilo swali mpelekeeni Tundu Lissu aje anijibu hapa kwani ni yeye ndiye anapotosha umma kwamba Zitto kamuombea MSAMAHA Mbowe, Zitto alimuomba Rais Samia amuachie (yaani amfutie mashitaka) Mbowe na sio ASAMEHEWE kama jinsi Tundu Lissu anavyopotosha umma.

Kwanini Tundu anapotosha umma; nadhani kwasababu kitendo alichofanya Zitto kimemuuma kutokufanywa na Yeye au mwanachadema yeyote na hii ni ujinga wenu kutokuhudhuria ule mkutano ambapo kiongozi mmoja wa chadema ndiye angaliwasilisha ombi la kufutiwa mashitaka Mbowe, sasa inaonekana kama Mbowe ataachiwa hiyo itakuwa ni credit kwa Zitto na political mileage kwa ACT kitu ambacho Tundu Lissu hataki na ndio maana anamshutumu Zitto kijinga na kwa Wivu kama kwamba hapendi kuona Mbowe akitolewa mahabusu.🤣
 
Tikisa kichwa uone kama upo sawa.Maelezo meeeeeengiii ujinga mtupu.


Nawe tikisa kichwa, fumbua macho na masikio nenda YouTube kasikilize hotuba ya Zitto na utagundua jinsi Lissu anavyompakazia Zitto, Lissu anataka kutuaminisha kwamba Zitto alimuombea msamaha Mbowe kitu ambacho sio KWELI ni uongo wa Lissu mbaya zaidi Watz wengi kama ulivyokuwa wewe huwa hamsomi, hamsikilizi bali mnapenda kutafuniwa na kulishwa vyenye mate.
 
Nawe tikisa kichwa, fumbua macho na masikio nenda YouTube kasikilize hotuba ya Zitto na utagundua jinsi Lissu anavyompakazia Zitto, Lissu anataka kutuaminisha kwamba Zitto alimuombea msamaha Mbowe kitu ambacho sio KWELI ni uongo wa Lissu mbaya zaidi Watz wengi kama ulivyokuwa wewe huwa hamsomi, hamsikilizi bali mnapenda kutafuniwa na kulishwa vyenye mate.
Kuna kiumbe amekuzuia kuishi unaloamini?Kaa hivyohivyo.
 
Back
Top Bottom