Zitto ajianika alivyotumika jana kumuombea msamaha Mbowe

Zitto ajianika alivyotumika jana kumuombea msamaha Mbowe

Mbona Rugemalira alisamehewa?!
Ila ww!!

IMG_20211029_105959.jpg
 
Acheni upuuzi wenu, mmetulia majumbani mwenu na familia zenu mwezenu anasota jela. Mnazani Mbowe atatoka kwa hashtag zenu! Chadema imeshapoteza mwelekeo, mpo disorganized sana katika hili, mwezenu anateseka nyie mnapiga porojo tu.

Mandela alikaa jela miaka 27, ulisikia watu wakimuombea msamaha au walitaka aachiwe bila masharti? Acha ateseke ili mama wa kambo wafurahi na genge lake.
 
Yaan hawa wapuuzi bora hata MBOWE atoke anaeleweka.

Maana Tangu Mbowe awe ndani haieleweki wanataka nin?

Kutoka atatoka na sio ombi bali ni lazima. Kwakuwa Mbowe anaeleweka akitoka mpeni ukatibu uenezi wa CCM.
 
Mwenzao ananyea debe wao huku wanaleta porojo, Mbowe anatakiwa kua na famia yake muda huu, Chadema waache upuuzi wao Zitto amewazidi.

Tunataka aendelee kunyea debe na hatuombi aachiwe bali tunataka aachiwe mara moja, tena bila masharti yoyote. Siasa za kishamba haziwabebi. Mkiumuacha jela mnamuonea, na mkimtoa mnamuogopa fullstop.
 
Familia yake inamuhitaji kuliko nyinyi mnaopiga domo tuu hapa.

Kama mlitegemea mtaombwa msamaha ili mpate kiki basi kiki imebuma, na huyo dalali wenu anayejifanya kuomba msamaha tumempa ukweli wake. Mbowe Kuachiwa ataachiwa kwa lazima, na hakuna mtu wa kuwanyenyekea.
 
Nyie watu wa ajabu kweli! Mwenzenu anateseka nyie mnapiga porojo kisha mnarudi kwenye familia zenu.

Sasa na wewe ni msemaji wa Mbowe hata uje ujibu hapa? We naww umewashwa nini au ww nike wa mbowe?
Kwani ni sisi tuliyetunga hiyo kesi ya ugaidi?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom