Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,221
- 55
Anaendelea vizuri na huenda akapata discharge muda wowote kuanzia sasa ,japo kaugua kipindi kibaya kwani mchango wake kwenye hotuba ya madini ulikuwa unahitaqjika sana sana .
Mungu yuu upande wa Zitto hivyo msihofu atapona .
kwani kumuombea kupumzika kwa amani ni kosa ? u unataka niseme apumzike kwa shida?
sasa hapa nimeamka kidogo, alikuwa kwenye kamati ya madini, kiwira imo kwenye report hii, serikali inatumia nguvu zote kumuokoa MKAPA na KIWIRA, mada ilioko mezani kwenye mjadala wa bunge ni wizara ya madini af mwisho kabisa leo Zitto anaumwa, ameumwa gafla....kazidiwa usiku..... kalazwa muhimbili....
Unajua kwamba unaweza kuwa mnene na si mzito? Yaani una mwili umejaa lakini bado ni mwepesi au...
Sasa nijuavyo mimi unene au "obesity" ni pale ambapo mtu anakuwa na eccess fat mwilini hasa sehemu izungukayo kiunoni na hivyo kusababisha pamoja na magonjwa mengine "diabetes".
Na uzito au "overweight" ni pale ambapo BMI au Body Mass Index ya mtu inazidi 25 au mpaka 29.
Sijui umenifahamu hapo?
...nimeshakureport kwa moderator!
Mwulize JK alikutana naye huko Ujepu na bado atakutana naye mwezi AUGUST ila ni Baada ya Mkamapssxcuse me...MKAPA MAP'S DESTRUCTION HENCE JUSTICE!
Make sense?
Unene kwa kiswahili changu cha kliniki ni pale uzito unapozidi BMI ya 25 na ili kuwa proportional kwenye BMI yako inabidi upunguze au uongeze unene which is the same language as upunguze au uongeze uzito. Mtu anakuwa obese pale BMI inapofikia 29
Na anapokuwa overweight inakuaje?
Hata hivyo nafikiri nimeeleza hicho.
BMI ni pale unapogawa uzito wako kwa urefu au kimo na ndio uanjua kwamba mtu ni overweight.
Lakini ukiwa umekula mafuta saaana basi yatajaa pale eneo la kiunoni na utakuwa condemned as obese or fat.
!!!! Not at all!!!
unacheka Cheka Nini Sasa We Malaya Wa Kike?
Huyu ni Mkamap, Mushi sio Mkapa map! hapa unaanzisha uchokozi!Be specific pls!
Kwamba haimake sense kudai haki kwa MUNGU Mr Mkapa map?
Kwa Kauli Hiyo Inadhihirisha Jinsi Baadhi Ya Waafrika Plus (....) Ndivyo Mlivyo...!
Anaendelea vyema japo hajatoka hosipitalini kama tulivyotarajia hivyo bado yupo Muhimbili ,ila anaendelea vizuri .
Kilichomfanya asitoke ni ushauri wa madaktari tuu kuwa waendelee kumwangalia kwa ukaribu zaidi.
kaangalie kwa dictionary definition ya obese = overweight
Huyu ni Mkamap, Mushi sio Mkapa map! hapa unaanzisha uchokozi!