Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 316
Put record straight jamani,
Mh. Zitto hafanyi PhD. He is doing his Masters. Jamani watu mkileta mada hapa ni vyema kufanya research. Sasa angalia thread nzima wamemuamini mleta mada, wakati na yeye hana uhakika na anachokiandika. Next time please do your research siyo kuja hapa kutoa info ambazo wewe mwenyewe huna uhakika nazo. NA HAPA NAANDIKA KWA CONFIDENCE MAANA NAJUA KABISA MKUBWA ANAFANYA MASTERS na Siyo PHD.
Otherwise, jamani, tujifunze kitu kimoja. Kutokubaliana siyo uadui. Kama hukubaliani na Mh. Zitto nadhani ni kwa mtizamo wa hoja, na si vyema kuanza kudemonize each other. Thats politics. Tushindanishe hoja. emotions zetu zisitufanye tuone wale wasiokubaliana na mawazo yetu kama wasaliti. Hapana siyo vyema. After all we cant be the same and our way of thinking is and must be different. Personally sikubaliani na mtizamo wa Zitto katika hili la DOWANS lakini sina budi kuuheshimu mtizamo wake. Maana atleast yeye kauweka wazi..ni tofauti na sisi tuanoandikia kwenye keyboard ya computer bila kuongea mbele ya umma. We should stand up and be counted.
Otherwise na mimi ningependa Serikali inunue mitambo hii moja kwa moja toka kiwandani. Kama inaweza kuagiza mashangingi mia saba kutoka Japan..kwanini ishindwe kuagiza genereta mbili toka GE or Siemens? Something fishy is in the pipeline.
Otherwise kwa Mh. Zitto, kila lakheri katika masomo yako. Elimu ni lulu. It neither has limits nor an end. Ongeza ujuzi urudi tulijenge taifa.
Masanja,
Naomba nisahihishe kidogo. Sijaanza PHD bado. Ninaandika proposal ya PHD na nimepewa mpaka mwezi Mei mwakani kuwa nimemaliza na proposal kupitishwa na msimamizi wangu katika chuo cha WHU-OttoBeisheim School of Management. Ninajiandaa na shahada ya uzamivu katika uchumi rasilimali - Resources economics na nikifanikiwa, inshaallah, nitaanza rasmi kusoma ili kupata Doctorate of Economic Sciences.
Wakati huu ambao ninaandika proposal nimejienroll Bucerius Law School kwa masomo ya sheria za Biashara, shahada ya uzamili - ninaandika kuhusu mfumo wa kodi katika sekta ya madini (fiscal stability clauses in the mining sector. Unnecessary evil?).
Hivyo, naomba ieleweke kuwa bado sijaanza masomo ya PHD kama MBALAMWEZI alivyoandika hapa. Sijui Mbalamwezi katoa wapi habari hizi maana angeniuliza kwanza.......................
duh! I guess Zitto katudanganya na yeye...unless proposal ya pHD imekuwa masters....hahaha! Watanzania tusijifanye wajuaji kama hatujui ukweli wa mambo. Sasa ndugu yangu Masanja umemponda mwenzako alafu kumbe na wewe ni yale yale tu! Hamko serious kabisa...