Zitto ataiua ACT-Wazalendo

Mbona CUF ilikuwa na nguvu Zanzibar ila sasa ni mahututi?

Ni baada ya Maalim Seif na kundi lake la akina Ismail Jussa kuiacha CUF.

Hata ACT as long as Zitto ana support ya Ismail Jussa na wenziwe chama hakiwezi kuja chini, Ila siku Zitto akiwachafua hao jamaa ACT nayo itazikwa kama ilivyozikwa CUF
 
Mkuu jalibu kutumia kichwa chako kufikili vizuri

ACT haima nguvu Wala wanachama,Bali inawafuasi wa Maalimu,hao wafuasi wakiamua kujiunga/ kuanzisha chama kingine watabaki na wanachama gani?

Hapo ndipo utakua mwisho wa ACT, kitarudi katika hali yake ya mwanzo
 
Umesema ukweli mkuu. Chadema walisema msaliti akafukuzwa ila mpaka leo bado wanamuandama wakati alianzisha chama chake.
 
ACT wazalendo siku hizi ni skin tight ya kuficha aibu pamoja na mauchafu ya CCM.
 
Akigombana nao ni ngumu sana yeye kufukuzika, anaweza kupata support kwa CCM wakammilikisha chama kama walivyofanya kwa Lipumba.

Zitto hana athari kubwa kwa CCM kama waliyonayo wafuasi wa Maalim Seif. So wanaweza kumsaidia adui yao mdogo katika kupambana na maaui zao wakubwa.
 
Na hao ndiyo wanaokibeba chama si wengine so zitto anawasikiliza na hawezi kuwatenga hata robo, laiti akiwatenga na kujifanya ndiye mzee wachama hawa jamaa wa Unguja wanasepa mapema sana na kwenye maskani zote wanafuta kila takataka ya zitto.

Kwa kweli yupo very loyal kwao.
 
Ni baada ya Maalim Seif na kundi lake la akina Ismail Jussa kuiacha CUF.

Hata ACT as long as Zitto ana support ya Ismail Jussa na wenziwe chama hakiwezi kuja chini, Ila siku Zitto akiwachafua hao jamaa ACT nayo itazikwa kama ilivyozikwa CUF
Siku zitto akijichanganya kumvuruga Jussa basa act itakuwa kama cuf kwasasa ilivyo Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…