Zitto ataka wanaoikosoa ACT-Wazalendo waanzishe chama chao


Ila jamaa we Fake sana. Unataka watu Waishi unavyotaka wewe. Na mbaya zaidi wewe unanuka damu na ghasia. Hutaki Amani. Watu kama nyie mngetamani sana Kuwe na Vita Sijui kwa faida ya Nani. Nakwambia watz Ni watu Peace sana. Wanawajua watu wajinga na wapenda ghasia msio na kazi kama wewe. Sijui mkuu umeachika. Sijui una vyeti Fake. Sijui jambazi. Maandiko yako hayana hata dalili ya mtu mwenye maisha yake na majukumu.
 
Wazanzibar washafahamu nini kinaendelea ndio maana yalikywa mafungu 2 ikiwa ACT na CUF so kila kundi wakaona wengine wasaliti, nawanasiasa wetu USALITI WANAO SANA TENA SANA NDIO MAANA WANANCHI WAMECHACHOKA KUWASIKILIZA UKIANZIA UFISADI BAADAE MTU SAFI THEN WANAJIFICHA USO MWILI WANAUACHA nb bora upambane ukiwepo co kuagiza kma remote
 
CCM inajua sana kula na jumuiya za kimataifa, ndio maana wamedumu mpaka leo. Katika utawala wa Magu walioguswa sana ni wamarekani na wakanada. Nchi nyingine bado zinakula na CCM vizuri tu. Kwamfano: Uingereza ndio muekezaji namba moja TZ na hakuna hata rasilimali yake hata moja iliyoguswa moja kwa moja. Hawa ni rahisi kuzungumza na wamarekani na kuwapoza. Tigo, ni shirika linamilikiwa na waswidi - Walishiriki kikamilifu kuzuia mawasiliano wakati wa uchaguzi. Wamelaumiwa sana lakini waliamua kuufyata tu, kwa vile wanapata wanachokitaka toka kwa CCM.

Mimi ninaamini hata kwa ACT kuingia SUK baadhi ya jumuiya za kimataifa zimeshiriki sana kuwa wadau wa mazungumzo hayo. Nyuma ya pazia za hii SUK ya wakati huu kuna mambo mengi ambayo wewe na mimi hatutayafahamu. Ila moja ninauhakika, kuwa ZEC itajireform, kwa umbali gani? siwezi kueleza!

Ninachotaka kukueleza kikubwa ni kimoja tu, CCM iko tayari kuuza mali za nchi yote kwa wageni ili wabaki madarakani. Na hii ndio ilichokiwezesha chama hiki kuwa madarakani mpaka leo. Na kiukweli kwa ujanja huu hiki chama kitakaa sana kwasababu jumuiya za kimataifa wala hazina kipaumbele cha haki za binaadamu, bali wanaangalia iterest zao. Wala si jina ACT, CHADEMA AU CCM ndio wanachovutika nacho sana- hapana, ni nani katika vyama hivyo vinaweza kutoa dau kubwa kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…