MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Hawa vijana wa CHADEMA ni wapumbavu.Hawa watu ni wepesi sana kusahau, wepesi wa kulia lia, hiyo ya kuondoka kwenye chama wameitumia kwa Zitto na kina Halima, lakini amesahau mule!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa vijana wa CHADEMA ni wapumbavu.Hawa watu ni wepesi sana kusahau, wepesi wa kulia lia, hiyo ya kuondoka kwenye chama wameitumia kwa Zitto na kina Halima, lakini amesahau mule!
Haahaa nani aingie road? Mwisho kitokee kile cha Maalim Seif Zanzibar. Hawajanishawishi.Tundu amewaambia muingie road mpinge uchaguzi hamjaenda,hawa viongozi mnataka wafuate matakwa yenu tu,wakiwaambia mfuate yao hamtaki
Sawa mwelewa!Hujaelewa wewe.
Kuwa mpinzani maana yake nini? Kila chama kinapigania kuingia ikulu, kimepata nafasi ya kuingia ikulu mnataka kikatae ili iweje?Tulisema sana humu kuwa Zitto haaminiki hata mara moja! Huyu ni mtu wa maslahi zaidi na sio mpinzani wa dhati hata kidogo
CDM wanasema ni batili kwa sababu walidhulumiwa kura kwa hiyo walistahili kupata ruzuku zaidi ya hiyo watakayopewa. Na kama nilivyosema ruzuku inatokana na kodi inayolipwa na wakazi wote wa Tanzania na sio wanachama wa CCM peke yake.Ruzuku inatokana na " kura " mlizopata kwenye uchaguzi mkuu.
Hivyo kama uchaguzi ni batili na ruzuku unayopokea ni haramu vile vile
Ahaa kumbe tatizo siyo uchaguzi bali kiasi cha ruzuku?CDM wanasema ni batili kwa sababu walidhulumiwa kura kwa hiyo walistahili kupata ruzuku zaidi ya hiyo watakayopewa. Na kama nilivyosema ruzuku inatokana na kodi inayolipwa na wakazi wote wa Tanzania na sio wanachama wa CCM peke yake. Kutaka wasichukue ni kama vile mnavyotaka wasipande ndege ambazo wamechangia kununua kwa sababu tu hawakukubaliana na uamuzi wa kuzinunua.
Amandla...
Hatuzungumzii mpira hapa. Wakina Mdee wamefukuzwa katika chama chao sio kwa sababu tu ya kuwazuia kuingia kwenye bunge ambalo wanaona ni haramu. Wao wamezuiwa kwa sababu hawakufuata taratibu na walienda kuapishwa bila ridhaa ya chama chao. Aidha, kwa sababu ruzuku haitokani na maamuzi ya Bunge basi haihusiki na Bunge lililopo.Akili ya ubwabwa, pole.
Alisema kuwa chadema inapinga akina mdee kuingia bungeni ilihali ruzuku wanayopewa chadema ni pamoja na inayotokana na uwakilishi wa akina mdee. Meanwhile, kama ubunge wa akina mdee ni haramu basi chadema ikatae ruzuku inayotokana na wabunge viti maalum yaani akina mdee.
Tatizo ni namna uchaguzi ulivyoendeshwa na kiasi cha kura ambazo inasemekana vyama vyote vilipata.Ahaa kumbe tatizo siyo uchaguzi bali kiasi cha ruzuku?!!
Wabunge 20 si haba kwa ruzuku!
Hata CCM ni mali ya Magufuli.Ni chama gani cha upinzani ambacho siyo mali ya mtu?
CCM wakiamka wakilala saa 24 ni kuisingizia kuipakazia CHADEMA uzushi mda woteHayo ni masuala ya wao wenyewe wana ACT,nyie maccm hata mkishindwa kuwatia mimba wake zenu mtasingizia Chadema.
Kawatumia kama condom kapata chake ameanza dharau kwao.Haahaa kwa sasa hawana haja tena na wafuasi maana washawatumia Kama ngazi. Poleni Sana Wana ACT.
Wewe umewaza kama mimi.Lengo la sasa la Zitto ni kukuza chama
Kutoka mbunge mmoja Hadi sasa kutoa makamu Zanzibar...
Mengineyo yote ni siasa
Zitto keshapata mileage kisiasa so far
Kutoka kupigwa vita na CHADEMA
Hadi kupigiwa kampeni na Chadema
Lengo la sasa la Zitto ni kukuza chama
Kutoka mbunge mmoja Hadi sasa kutoa makamu Zanzibar...
Mengineyo yote ni siasa
Zitto keshapata mileage kisiasa so far
Kutoka kupigwa vita na CHADEMA
Hadi kupigiwa kampeni na Chadema
Uhuru gani tena wanaoutaka hao wanaomkosoa?Nimeshangazwa na majibu ya mkuu wa chama cha ACT Wazalendo ndugu Zitto Kabwe aliyoyatoa kwenye mtandao wa twitter.
Zitto alikuwa akimjibu mwananchi mmoja aliyekuwa akionyesha frustrations zake juu ya uamuzi wa chama cha ACT kujiunga na Serikali ya CCM huko Zanzibar katika kile kinachoitwa serikali ya umoja wa kitaifa. Mwananchi huyo anaonyesha kuwa kuingia kwa ACT katika hiyo serikali hakuwezi kusaidia wananchi kupata uhuru mpana waliokuwa wakitamani kuwa nao.
Katika hali isiyo ya kawaida, isiyo ya uungwana na isiyo ya kiuongozi mkuu wa chama cha ACT ndugu Zitto badala ya kutumia fursa hiyo kumuelewesha au atleast akae kimya wananchi watumie haki yao ya kutoa maoni, yeye anamjibu kwa ufedhuli na jeuri kuwa "Kama unaona tumekosea basi anzisha chama chako".
Kwa kweli sikutegemea kiongozi haswa wa upinzani kutoa majibu ya nyodo kama haya kwa wananchi wanapouliza maswali ya msingi juu ya mienendo ya kisiasa nchini.
Labda Zitto afahamu tu kuwa sababu mojawapo ya leo ACT-Wazalendo kuwa hapa ni haohao wananchi ambao leo anawajibu kwa nyodo kuwa "anzisheni chama chenu"
Lakini pia Zitto akumbuke kuwa kuna watu wamekifia hicho chama, Wakati akijibu kwa majibu ya "Anzisheni chama chenu" Je amelifikiria hili kuwa kuna watu wame-pay ultimate price kwa hicho chama au kwa course yake waliyoinadi kwao na kwa hiyo ndugu, jamaa, marafiki na wananchi wana haki ya kuhoji ukinyongakinyonga wa misimamo iliyowafanya hapo awali wawe tayari kukipigania hicho chama?
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida, Viongozi wa ACT sasa hivi wameacha kujibu maswali magumu ya wananchi juu ya hatua yao ya kuingia kwenye SUK wakati waliitangazia dunia na nchi kiujumla kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa haramu, Zitto mwenyewe akaweka saini tamko la pamoja la Upinzani kuwa hawautambui uchaguzi ule pamoja na natunda yake, Sasa leo wananchi wakihoji wanaambiwa jamani eeh kama hamtaki tulichokifanya basi nendeni CCM, au NCCR yaani ni majibu ya kifedhuli uliopitiliza!. Sasa wameacha kutoa majibu kwa wananchi, wameanza kublackmail wanachama wa ACT na kutoa kauli za nyodo kwa wananchi, kuwa "ACT ina wenyewe na nyie kaanzisheni chama chenu"
Sasa leo tunaona kwa macho yetu, watu tuliodhani ni wakomavu wa kisiasa, tuliodhani kuwa mashambulizi yao kwa CCM basi wao labda wana ngozi ngumu na kwamba labda wao wakipewa nchi basi watakuwa humble, watakuwa na humility, watajibu hoja kwa hoja kumbe hawa jamaa ni arrogant(wenye viburi), intolerant(wasio wavumilivu) na wanajiona wao ni wamiliki wa taasisi kwa kuwa walizianzisha na si wahudumu tu wa taasisi ambazo wao ni wanachama.
Hawa wapinzani hawana blank cheque ya kutuletea jeuri sisi wananchi, Kwa miaka mingi tumekuwa tukiishabumbulia CCM, lakini na wenyewe hawana impunity, tutawaekeza ukweli maana hivyo vyama kwa namba moja au nyingine vinanufaika kwa jasho la wananchi iwe kwa ruzuku au wanasiasa wao kulipwa kwa kodi za wananchi n.k
Zitto acha jeuri kwa wananchi, Jibu hoja na frustrations zao kwa hekima, utulivu, nidhamu na utu. Bila wananchi usingekuwa hapa kuwa na humility.
Hebu kwanza tumsikilize Zitto wa baada ya uchaguzi kisha tusome kuhusu Zitto wa sasa na tweet zake za nyodo kwa wananchi:
View attachment 1649528
Kisha tazama majibu yake ya sasa mwezi mmoja na nusu tu baada ya uchaguzi:
View attachment 1648516
Na mahali pengine anamjibu mwananchi hivi:
View attachment 1648775
Pia ameanza kublock watu wanaomcriticize mitandaoni:
View attachment 1649138
Unazungumzia hisia ambazo hata maalim na Zitto hawawezi kukuamini. Siasa ni kujenga trust kwa wananchi sio kujenga tumbo lako. Hata wa Wazanzibar leo hawamwamini tena Maalim. Ni bahati mbaya ndo hatashiriki tena siasa za kuchaguliwa, ninaamini. lakini, angekuwa na umri wa kugombea 2025 ninakuhakikishia ni watu wachache sana angewakokota, wengi wameishamshtukia. SUK ilikuwepo kabla ya Maalim na Zitto kuungana na Chadema na vyama vingine kuharamisha uchaguzi na kuzitaka jumuiya za kimataifa kuishughulikia serikali ya CCM. Leo Maalim na Zitto hawaaminiki tena hata kwenye jumuiya za kimataifa! Hiyo IQ unayoisema iko kwenye matumbo yao haipo katika shida za wananchi!CCM itatolewa madarakani na mtu weak. Huyo wanaweza kuzungumza naye, lakini ukiwa ngangari mwisho wake utakimbia nchi kama akina Kambona na kushindwa kabisa hata kile kidogo ambacho ungewafanyia wananchi.
Hiki chama tawala kuna mbinu zake za kuweza kuzungumza nacho vinginevyo hufiki mbali. Waliposema wataingiza wananchi barabarani, niliikataa kabisa mbinu hiyo kwani isingefanikiwa kwa jinsi chama tawala ninachokifahamu.
Maalim na Zitto ni wanasiasa wenye IQ kubwa sana, ndio maana akina mimi tunashindwa kuwaelewa. Hivyo maamuzi waliyoamua ya kuingia SUK yalikuwa sahihi kabisa. Mwaka 2025 ndio tutajua nani alichagua na kupanga kete vizuri.